CCM waanza mchakato uteuzi ngazi ya Taifa

Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuanza rasmi mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge katika ngazi ya Taifa, kikiwataka wote watakaokosa nafasi kuwa watulivu, waaminifu na watiifu kwa chama. Aidha, chama hicho kimeeleza kwamba hadi sasa hakuna mgombea yeyote aliyekatwa au kuenguliwa, kwa kuwa uamuzi wa mwisho kuhusu majina ya wagombea utatolewa na Kamati Kuu…

Read More

AYE kupeleka vijana Marekani kupitia ufadhili wa masomo

KATIKA hatua ya kuibua na kukuza vipaji vya vijana wa Kitanzania, taasisi ya African Youth Empowerment (AYE) imetangaza kuanza rasmi mpango wa kutoa ufadhili wa masomo (scholarship) kwa vijana wenye vipaji maalum kwa ajili ya kusoma na kuendeleza ndoto zao nchini Marekani. Akizungumza na Mwanaspoti, Mkurugenzi Mtendaji wa AYE, Muyimba Gerald amesema kuwa mpango huo…

Read More

CCM katikati ya uamuzi mgumu

Dar es Salaam. Baada ya kukamilika kwa vikao vya wilayani na mikoani, hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM), kinaingia rasmi kwenye wiki ya mtihani na uamuzi mgumu kwa ustawi na uhai wake. Ni mtihani na uamuzi mgumu kwa sababu, ndiyo unaoamua majina yapi yatemwe na matatu yarudishwe kwa wajumbe kupigiwa kura za maoni, kwa wale walioomba…

Read More

Beki KMC kutimkia JKT Tanzania

MABOSI wa JKT Tanzania wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki wa mkongwe wa KMC, Fred Tangalo ambaye alimaliza mkataba na kikosi hicho msimu uliomalizika. Beki huyo ambaye amewahi kuichezea Namungo, Lipuli na Polisi Tanzania, huku msimu uliomalizika ndio ulikuwa wa mwisho kwake ndani ya KMC. Baada ya kutokuona dalili za kuendelea na kikosi…

Read More

Waarabu wamnyatia nyota Azam FC

MSHAMBULIAJI wa Azam FC raia wa Senegal, Alassane Diao amethibitisha hatokuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao, huku taarifa zikieleza yupo katika mazungumzo ya kujiunga na Etoile du Sahel ya Tunisia iliyoonyesha nia ya kumuhitaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Diao alisema baada ya kukitumikia kikosi hicho kwa misimu miwili, ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine, ingawa timu…

Read More

Waarabu wamnyatia nyota Azam FC

MSHAMBULIAJI wa Azam FC raia wa Senegal, Alassane Diao amethibitisha hatokuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao, huku taarifa zikieleza yupo katika mazungumzo ya kujiunga na Etoile du Sahel ya Tunisia iliyoonyesha nia ya kumuhitaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Diao alisema baada ya kukitumikia kikosi hicho kwa misimu miwili, ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine, ingawa timu…

Read More

Polisi yamshikilia kigogo mwingine wa Chadema

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania limesema linamshikilia Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leonard Magere kwa tuhuma za jinai. Taarifa ya Polisi iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi leo Jumapili Julai 13, 2025 imeeleza kuwa Magere alikamatwa jana Jumamosi. “…Leonard Josephat Magere alikamatwa jana Julai…

Read More