Kiungo Mtanzania awindwa na Waarabu

KIUNGO Mtanzania Suzana Adam, ambaye alikuwa anakipiga FC Masar ya Misri, anawindwa na timu za Ligi Kuu nchini humo na Morocco. Nyota huyo amemaliza mkataba wa miaka miwili aliokuwa anatumikia FC Masar, alipojiunga mwaka 2023 akitokea Fountain Gate Princess ya Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, meneja wa mchezaji huyo, James Mlaga, alisema ni kweli amemaliza mkataba…

Read More

Beki KMC kuitimkia JKT Tanzania

MABOSI wa JKT Tanzania wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki wa mkongwe wa KMC, Fred Tangalo ambaye alimaliza mkataba na kikosi hicho msimu uliomalizika. Beki huyo ambaye amewahi kuichezea Namungo, Lipuli na Polisi Tanzania, huku msimu uliomalizika ndio ulikuwa wa mwisho kwake ndani ya KMC. Baada ya kutokuona dalili za kuendelea na kikosi…

Read More

Kasi wanawake kuchepuka yapanda Marekani

Dar es Salaam. Unaweza kusema kuchepuka imeanza kuonekana ni jambo la kawaida, awali hili lilifanywa zaidi na wanaume lakini sasa wanawake nao hawako nyuma. Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Institute for Family Studies (IFS) wa mwaka 2024  na ripoti yake kuchapishwa mwaka 2025 unaoonesha kasi ya wanawake kuchepuka imeanza kuongezeka ikilinganishwa na…

Read More

Wadau wa Taboa kusaka suluhu kero wanazokumbana nazo

Dar es Salaam. Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), kinatarajiwa kufanya mkutano wake mkuu utakao toa fursa kwa wanachama kujadili mambo mbalimbali yanayoikabili sekta hiyo na kuja na maazimio ya pamoja. Miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kupewa msukumo zaidi katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Julai17, 2025, Ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam ni kamatakamata…

Read More

Jukwaa la wakurugenzi wakuu kuchochea mabadiliko biashara, uchumi

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wakurugenzi Wakuu wa Kampuni Tanzania (CEOrt), Santina Benson amesema jukwaa hilo limekuwa muhimu katika kuboresha mazingira ya biashara nchini na uchumi kwa ujumla. Santina amesema hayo katika maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa CEOrt ambapo zimefanyika mbio zinazojulikana kama ‘CEOrt Legacy Walk’ Jumamosi Julai 12, 2025,…

Read More

Kasi wanawake kuchepuka yapanda | Mwananchi

Dar es Salaam. Unaweza kusema kuchepuka imeanza kuonekana ni jambo la kawaida, awali hili lilifanywa zaidi na wanaume lakini sasa wanawake nao hawako nyuma. Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Institute for Family Studies (IFS) wa mwaka 2024  na ripoti yake kuchapishwa mwaka 2025 unaoonesha kasi ya wanawake kuchepuka imeanza kuongezeka ikilinganishwa na…

Read More