
July 2025


MNIKWAMBIE MAMA: Mtuletee wagombea wenye sifa ya ubunifu
Endapo utaona tone la mvua likiangukia sofani, utashikwa na hofu ya kuharibika kwa sofa hilo. Utatupa macho juu kuona panapovuja na kukutana na alama kwenye dari. Utaweka ngazi na kuparamia darini ambako utagundua kigae kilichovunjika. Usipoangalia utajikuta ukirudi chini na kuinamisha kichwa: kadha imekuwa kadha wa kadha! Namna hii ndiyo ambayo matatizo huitumia kumchanganya mwanadamu….

Wachunguzi wa Haki za UN – Maswala ya Ulimwenguni
Wakati huo huo, shambulio lingine Jumanne liliripotiwa kuwauwa raia watano na kujeruhi watatu katika mkoa wa Kharkiv, ulioko mashariki mwa Ukraine. Kulingana na viongozi, vikosi vya jeshi la Urusi viliangusha mabomu kadhaa yenye nguvu kwenye Bilenkivska Adhabu ya Adhabu ya Colony Na. 99 mnamo 28 Julai. Gereza hilo liko karibu kilomita 25 kutoka mstari wa…

Che Malone atuma ujumbe msimbazi
ALIYEKUWA beki wa kati wa Simba SC, Che Fondoh Malone, sasa ni mchezaji halali wa klabu ya USM Alger ya Algeria baada ya kufuzu vipimo vya afya na kusaini mkataba wa miaka miwili na mabingwa hao wa zamani wa Kombe la Shirikisho Afrika. Akizungumza akiwa jijini Algiers mara baada ya kuthibitishwa kuwa mchezaji mpya wa…

Siku ya 2 ya Mkutano wa Kiwango cha Juu juu ya Suluhisho la Jimbo mbili kwa Israeli na Palestina-Maswala ya Ulimwenguni
Picha ya UN/Manuel Elías Mtazamo mpana wa Mkutano Mkuu. (Picha ya faili) Jumanne, Julai 29, 2025 Habari za UN Karibu katika chanjo yetu ya moja kwa moja ya Mkutano wa Kimataifa wa Kimataifa katika makao makuu ya UN, yenye lengo la kuendeleza hatua za vitendo za kufikia suluhisho la serikali mbili kwa mzozo wa Israeli-Palestina….

Aliyekuwa Mwenyekiti Wa Halmashauri ya Missenyi Ateuliwa kugombea Ubunge
Na Diana Byera,Missenyi Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Projestus Tegamaisho ameteuliwa na kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge wa Jimbo la Missenyi kwa tiketi ya chama hicho akiwa na wenzake Saba wanaowania kiti hicho . Tegamaisho ambaye amekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa miaka 10 anasema amepata uzoefu wa Kila…

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MTAMBO WA KUTENGENEZA BARABARA KALIUA
KATIKA kutekeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini vinapitika wakati wote, Wilaya ya Kaliua imetekeleza mkakati huo kwa vitendo. Katika kuthibitisha hilo, Mbio za Mwenge wa Uhuru umezindua mtambo wa kutengeneza barabara (Motor Grader) wenye thamani ya shilingi bilioni 1.2…

KAMATI KUU YA CCM YAMPITISHA DKT ALLY SIMBA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOROGORO MJINIi
……………….. KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imelipendekeza jina la Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Mawasiliano Afrika Mashariki DK Ally Simba, kuwania Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini akichuana na wagombea wengine sita akiwemo aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Abdulaziz Abood. Dk Simba ambaye mbali na nafasi yake ya Utendaji katika…

Polisi, wadau waungana kuwalinda watoto dhidi ya ubakaji Mwanza
Mwanza. Licha ya kupungua kwa idadi ya matukio ya ukatili dhidi ya watoto mkoani Mwanza, vitendo vya ubakaji bado ni tishio kwa usalama na ustawi wao. Hali hiyo imelifanya Jeshi la Polisi kushirikiana na wadau wa maendeleo kuimarisha kampeni za ulinzi wa mtoto kupitia elimu na uhamasishaji kwa umma. Katika kipindi cha kuanzia Januari hadi…

Mnara kumbukumbu wenye ualbino wahuishwa, majina mapya yaongezwa
Mwanza. Mnara wa kumbukumbu ya watu wenye ualbino waliouawa nchini, maarufu kama Nithamini, umehuishwa kwa kuongezwa majina ya waathirika wapya ambayo hayakuwemo wakati wa uzinduzi wake mwaka 2014. Miongoni mwa majina hayo ni la Asimwe Novath (2), mtoto mwenye ualbino aliyenyakuliwa kutoka mikononi mwa mama yake Mei 30, 2024 katika Kijiji cha Bulamula mkoani Kagera…