HUMPHREY POLEPOLE AJIUZULU UBALOZI

 :::::: Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amemuandikia barua Rais Samia akitangaza kujiuzulu nafasi ya uwakilishi wa Tanzania nchini Cuba, eneo la Karibe, Amerika ya Kati pamoja na nchi rafiki za Colombia, Venezuela na Guyana Katika barua hiyo, Polepole ameeleza kuwa ameamua kujiuzulu kutokana na mwelekeo wa kiuongozi unaokosa msimamo thabiti katika kusimamia haki…

Read More

QS MUHONDA ATANGULIZA MBELE CCM

 ::::::::::: Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa aliyemaliza Muda wake kuwakilisha Wilaya ya Kinondoni (Jumuiya ya Wazazi CCM), pia Mmilliki wa makampuni ya ‘QS Mhonda J Apex Group of Companies Ltd’ Joseph Boniface Mahonda (Mtia nia ya kugombea nafasi ya UBUNGE Jimbo la Kinondoni amewaasa wagombea wenzie wa Ubunge na wana CCM kwa ujumla kuwa watulivu…

Read More

MAHUBIRI: Tujifunze kusamehe watu wote bila masharti

Katika maisha ya kila siku, tunaumia kwa sababu ya matendo ya wengine kwa maneno ya kuumiza, vitendo vya hila, usaliti, au hata dhuluma. Lakini Biblia inatufundisha kwamba, kama Wakristo, tunapaswa kusamehe, siyo kwa masharti au kwa kubadilishana na kitu, bali kusamehe kutoka moyoni. Mfano mkuu wa kusamehe bila masharti unaonekana wazi katika maisha ya Yusufu,…

Read More

Askofu Malasusa: Dk Mono uwe Yusufu wa Mwanga

Mwanga. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa amemtaka  Askofu mteule  wa Dayosisi ya Mwanga, Dk Daniel Mono kuwa chombo cha kuunganisha watu na si chanzo cha migogoro na mifarakano. Pia, amewataka viongozi wa kiroho kuacha kushughulika na mambo madogo yanayoweza kuwatoa kwenye mstari wa kiroho, badala yake waelekeze nguvu…

Read More

𝐌𝐬𝐚𝐣𝐢𝐥𝐢 𝐰𝐚 𝐇𝐚𝐳𝐢𝐧𝐚 𝐀𝐩𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐚 𝐔𝐞𝐧𝐝𝐞𝐬𝐡𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐒𝐡𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐥𝐚 𝐌𝐢𝐭𝐢 𝐖𝐞𝐬𝐭 𝐊𝐢𝐥𝐢𝐦𝐚𝐧𝐣𝐚𝐫𝐨

Kilimanjaro. Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mashirika Yasiyo ya Kibiashara kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina, Bw. Joseph Mwaisemba, amefanya ziara ya kikazi katika Shamba la Miti West Kilimanjaro na kutoa pongezi kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitihada za kulinda mazingira na kukuza utalii wa ikolojia. Ziara hiyo imefanyika jana, Julai…

Read More

Tujifunze kusamehe watu wote bila masharti

Katika maisha ya kila siku, tunaumia kwa sababu ya matendo ya wengine kwa maneno ya kuumiza, vitendo vya hila, usaliti, au hata dhuluma. Lakini Biblia inatufundisha kwamba, kama Wakristo, tunapaswa kusamehe, siyo kwa masharti au kwa kubadilishana na kitu, bali kusamehe kutoka moyoni. Mfano mkuu wa kusamehe bila masharti unaonekana wazi katika maisha ya Yusufu,…

Read More

Chanzo watumishi wa afya kuvikimbia vituo  

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kupeleka watumishi wa afya mikoa ya pembezoni mwa nchi, baadhi huondoka hivyo wachache wanaobaki kubeba mzigo mkubwa wa kazi. Miongoni mwa sababu zinazowakimbiza watumishi hao ni mazingira duni ya kazi na changamoto za miundombinu. Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika baadhi ya zahanati za Mkoa wa Kigoma ulio pembeoni mwa…

Read More