Bashiri na Meridianbet Leo Upige Mkwanja Mrefu

JUMAMOSI ya leo ndani ya Meridianbet kuna mechi kibao za kirafiki zinachezwa huku ODDS zao zikiwa zimenona kabisa. Ingia kwenye akaunti yako uweke dau na uanze safari ya kuwa milionea leo. AZ Alkmaar atakuwa mwenyeji wa Almere City FC ambapo timu zote zinatoka kule Uholanzi. Mara ya mwisho kukutana timu hizi walitoka sare ya kufungana bao 1-1….

Read More

NACTVET IMEJIDHATITI KUHAKIKISHA VYUO VINAZALISHA NGUVU KAZI YENYE TIJA KWA TAIFA-BENADETTA

Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi – Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Bernadetta Ndunguru akiwahudumia wateja waliotembelea Banda la NACTVET katika maonesho ya 49 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba)Jijini Dar es Salaam. Afisa Uhusiano wa NACTVET  Dora Tesha  akiwahudumia wateja waliotembelea…

Read More

Mavambo atajwa Singida Black Stars

BAADA ya kushindwa kufanya kile kilichotarajiwa na Simba, kiungo mkabaji mwenye uraia wa Angola na DR Congo, Debora Fernandes Mavambo anatajwa kutimkia Singida Black Stars msimu ujao. Debora alijiunga na Simba kwa mkataba wa miaka mitatu mwanzo mwa msimu ulioisha akitokea Mutondo Stars ya Zambia. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwanaspoti Mavambo…

Read More

Nkane afichua siri zake Yanga

KIUNGO mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake na Yanga, Denis Nkane amekiri kunufaika na klabu hiyo ndani na nje ya uwanja, hivyo itabakia katika kumbukumbu ya maisha yake ya mpira wa miguu. Nkane alijiunga na Yanga Januari Mosi, 2022 akitokea Biashara United ndani ya misimu mitatu alifanikiwa kuvaa medali za Ligi Kuu na Kombe la FA, lakini…

Read More

Ecua deal done! Wakala athibitisha

MASHABIKI wa Yanga wana uhakika wa kutamba sasa, baada ya klabu yao kujihakikishia dili la kumnasa mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Celestin Ecua ambaye atasaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo. Uhakika wa Yanga unatokana na bosi wao injinia Hersi Said kufanya umafia kuiwahi saini ya mshambuliaji huyo mwenye kasi akimalizana na klabu yake….

Read More

Ecua deal done! Hersi athibitisha

MASHABIKI wa Yanga wana uhakika wa kutamba sasa, baada ya klabu yao kujihakikishia dili la kumnasa mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Celestin Ecua ambaye atasaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo. Uhakika wa Yanga unatokana na bosi wao injinia Hersi Said kufanya umafia kuiwahi saini ya mshambuliaji huyo mwenye kasi akimalizana na klabu yake….

Read More

Kiungo ghali aleta balaa Simba, Yanga

HADI kufikia Ijumaa usiku, taarifa zilibainisha Simba ilikuwa kwenye mazingira mazuri ya kummiliki kiungo Balla Moussa Conté kutoka CS Sfaxien ya Tunisia baada ya kufikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miaka miwili, lakini ghafla, Jumamosi asubuhi likaibuka jambo jipya. Kilichotokea ni Yanga imeingilia kati mazima na inabainishwa imemaliza dili moja kwa moja kwa kumpa mkataba…

Read More