Simulizi soko lilivyoteketea Iringa, waacha vilio

‎Iringa. Ni vilio! Ndivyo unavyoweza kuelezea hali iliyotawala katika eneo la Soko la Mashine Tatu mjini Iringa baada ya moto kuteketeza vibanda 429 vya ndani, 86 vya nje ya soko hilo na kuathiri shughuli za biashara kwa zaidi ya wafanyabiashara 500 waliokuwa wakitegemea eneo hilo kwa maisha yao ya kila siku. ‎Moto huo, ambao imeelezwa…

Read More

Tanzania kusaka watalii milioni nane hadi 2030

Dar es Salaam. Tanzania imedhamiria kuongeza idadi ya watalii hadi kufikia milioni nane mwaka 2030, ikiwa ni ongezeko kutoka watalii zaidi ya milioni tano waliokuwapo mwaka 2025. Ili kuvutia idadi hiyo, imedhamiria kuboresha huduma zake na kupanua wigo wa utangazaji vivutio vilivyopo ili wageni na Watanzania waweze kuvitambua na kuvitembelea. Hayo yamesemwa leo, Julai 12,…

Read More

Pacome awatema Chama na Kibu MVP, Juni

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu Bara akiwaacha Clatous Chama na Kibu Denis wa Simba. Mbali na Pacome lakini aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi pia amechaguliwa kocha bora wa mwezi mbele ya Rachid Taoussi wa Azam FC na Fred Felix wa Pamba Jiji. Pacome…

Read More

Baa la moto usiku masokoni

Dar es Salaam. Ndani ya wiki moja, maeneo ya biashara katika masoko yaliyopo mikoa ya Iringa, Tabora na Singida yameteketea kwa moto, ulioathiri uchumi wa wafanyabiashara na Taifa kwa ujumla. Wakati soko maarufu la Mashine Tatu lililopo Manispaa ya Iringa limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, Julai 12, 2025, tukio lingine la namna hiyo…

Read More

Aliyehukumiwa jela maisha kwa ulawiti, aachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuachia huru Elisha Eliah, aliyekuwa amehukumiwa adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kosa la ulawiti. Uamuzi huo umetolewa Julai 8, 2025 na Jaji John Nkwambi kutokana na rufaa aliyoikata Elisha akipinga hukumu ya Mahakama ya Wilaya ya chini iliyomtia hatiani na kumhukumu adhabu…

Read More

Pacome awatema Chama na Kibu MVP

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu Bara akiwaacha Clatous Chama na Kibu Denis wa Simba. Mbali na Pacome lakini aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi pia amechaguliwa kocha bora wa mwezi mbele ya Rachid Taoussi wa Azam FC na Fred Felix wa Pamba Jiji. Pacome…

Read More

AMREF TANZANIA YASHIRIKI KATIKA UFUNGUZI WA MKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

Mkurugenzi Mkazi wa Amref Tanzania Dkt Florence Temu (wa pili kushoto) akiambatana na Dkt. Ndekya Oriyo (watatu kulia) kutoka Amref Tanzania wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.Mkurugenzi Mkazi, Amref Tanzania, Dkt. Florence Temu (wa pili kushoto) akiambatana na…

Read More

Chama azigonganisha Azam FC, Zesco

WAKATI Azam FC ikimpigia hesabu aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama ikiwa ni pendekezo pia la kocha wa timu hiyo, Florent Ibenge, kikosi hicho kinakabiliwa na ushindani kutoka kwa Zesco United ya Zambia inayomuhitaji. Nyota huyo aliyezichezea timu mbalimbali zikiwemo Ittihad Alexandria SC ya Misri, Lusaka Dynamos FC ya Zambia, Simba ya Tanzania na…

Read More