Moto waua watoto watano kituo cha yatima Tabora

Tabora. Watoto watano waliokuwa katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Igambilo, Kata ya Misha, Manispaa ya Tabora wamefariki dunia, baada ya moto kuzuka katika chumba walicholala. Inaelezwa kuwa moto huo umeanzia katika jengo lenye vyumba vinne, ikiwemo chumba walichokuwa wamelala watoto hao wenye mahitaji maalumu, usiku wa kuamkia Julai 29, 2025, huku chanzo kikitajwa…

Read More

WATAALAMU WASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA AI

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya TEHAMA Dkt Nkunde Mwasaga (kushoto),akiwa Dkt George Mulamula (katikati) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Datavera Bilal Hmede katika siku ya pili ya Jukwaa la Akili Unde la Tanzania 2025 ambalo limefanyika kuanzia Julai 28-29 mwaka huu jijini Dar es salaam …………………. NA MUSSA KHALID Mkurugenzi Mkuu wa Tume…

Read More

Mawaziri wawili, wawakilishi watano waenguliwa

Unguja. Vigogo saba waliokuwa wakishikilia nafasi za uwakilishi, wakiwemo mawaziri wawili, zimeshindwa kuchomoza katika uteuzi wa watiania watakapigiwa kura za maoni Agosti 4, 2025 ndani Chama cha Mapinduzi (CCM). Mawaziri walioshindwa kuchomoza katika mchujo huo uliotangazwa leo Julai 29, 2025 ni pamoja na Shaib Hassan Kaduara, Waziri wa Maji, Nishati na Madini ambaye alikuwa mwakilishi…

Read More

Panga la CCM lilivyoacha maumivu kwa makada

Dar es Salaam. Panga la Chama cha Mapinduzi (CCM) limewafyeka zaidi ya robo tatu ya makada wake 4,109 waliochukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge katika majimbo 272 ya Tanzania Bara na Zanzibar, ndani yake wakiwemo vigogo na watu mashuhuri. Kati ya makada hao waliochukua fomu, Kamati Kuu ya chama hicho iliyoketi Julai 28, 2025,…

Read More

Viongozi wa dini, machifu wataka Uchaguzi Mkuu wa amani

Mbeya. Viongozi wa dini na machifu mkoani Mbeya wamekemea vikali lugha za kejeli dhidi ya Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, huku wakisisitiza umuhimu wa kudumisha amani na mshikamano miongoni mwa wanajamii. Kauli hizo zilitolewa leo Jumanne, Julai 29, 2025, katika kongamano maalumu la kufanya maombi kwa ajili ya kuliombea Taifa na Rais…

Read More

PANGA CCM LAONDOKA NA WALIOKUWA WABUNGE MAARUFU

…Wamo Januari Makamba, Mpina, Gambo, Askofu Gwajima na Ole Sendeka  Na Said Mwishehe,Michuzi TV PANGA limewapitia!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) kuacha majina ya makada wake maarufu na ambao wamekuwa Wabunge waliojizolea umaarufu mkubwa nchini. Katika majina ambayo yametangwazwa leo Julai 29,2025 Mjini Dodoma licha wagombea wengi kupitishwa katika…

Read More

Simulizi ya Profesa Mwandosya, shujaa wa saratani ya damu

Dar es Salaam. Ni safari ya huzuni, maumivu na mafunzo. Ndivyo unaweza kuelezea simulizi ya matibabu ya saratani aliyopitia mwanasiasa mkongwe, Profesa Mark Mwandosya wakati akipambania maisha yake nchini India. Ni kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Juni 17, 2011 hadi Julai 14, 2012, kilichompa sababu ya kuandika kitabu kuhusu aliyopitia katika harakati za matibabu tangu…

Read More