WAJASIRIAMALI WANUFAIKA WA CAMFED WAONYESHA BIDHAA SABASABA

  Mmoja wa wajasiriamali wanufaika wa Shirika la CAMFED Tanzania akizungumza kwenye Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – maarufu kama Sabasaba wanayoshiriki kutangaza biashara wanazozifanya kwa sasa. Sehemu ya wajasiriamali wanufaika wa Shirika la CAMFED Tanzania wakiwa na bidhaa zao mbalimbali kwenye Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – maarufu kama Sabasaba…

Read More

Makamu wa Rais apongeza ukaribu wa benki ya NMB na serikali

 Arusha. Makamu wa Rais Dr Philip Mpango ameipongeza benki ya NMB kwa jinsi inavyoshirikiana na serikali katika matukio mbalimbali ya kijamii na kiuchumi nchini. Amesema  kuwa kumekuwepo na mafanikio makubwa yaliyochagizwa na benki hiyo hasa katika kuhudumia jamii na kuwezesha shughuli  na matukio mbalimbali zinazofanywa na serikali. “Kila ninapoiona benki ya NMB ikishiriki katika matukio…

Read More

KAMISHNA BADRU ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA NA KUPONGEZA JITIHADA ZA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI.

 Na Hamis Dambaya, DSM. Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Abdul-Razaq Badru ametembelea maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa  sabasaba na kupongeza kazi mbalimbali zinazofanywa na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii. Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya banda  hilo Kamishna Badru amezipongeza taasisi hizo…

Read More

Waziri Mkuu wa zamani Uingereza arejea kazi yake benki

Dar es Salaam. Rishi Sunak, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, amerejea kwenye benki aliyokuwa akifanya kazi kabla ya kuingia kwenye siasa, atafanya kazi kama mshauri kwa takriban saa mbili kwa siku katika Benki ya Goldman Sachs. Benki hiyo ya uwekezaji imetangaza kuwa Sunak, aliyeongoza Uingereza kuanzia Oktoba 2022 hadi Julai 2024, atawapa wateja wa…

Read More

Vuta nikuvute uongozi ndani NCCR Mageuzi

Dar es Salaam. Mvutano ndani ya chama cha NCCR Mageuzi unaendelea kuchukua sura mpya huku uongozi wa chama hicho ukianza maandalizi ya kushiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu. Hii ni baada ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kueleza kuutambua uongozi wa mwenyekiti mpya, Haji Ambar Khamis kuwa halali. Katika mazungumzo na…

Read More