
Serikali yataja mbinu kukomesha rushwa, yataka itajwe kwa uwazi uchaguzi mkuu
Dodoma. Serikali imetaja njia mbadala ya kumaliza ama kupunguza rushwa, ni kujenga mifumo ambayo itakuwa wazi katika utoaji wa huduma za kiserikali ikiwemo kutokutana moja kwa moja na wenye kutoa uamuzi huo, huku ikieleza ni muhimu rushwa kutamka wa kwa uwazi kuelekea uchaguzi mkuu. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Julai 11, 2025 wakati wakati akifungua…