Maajabu ya parachichi kwa afya ya binadamu

Dar es Salaam. Parachichi  ni miongoni mwa matunda yenye faida kubwa mwilini, na moja wapo ya faida hiyo ni kuimarisha usagaji wa chakula tumboni. Utafiti mwingi unaonesha kuwa watu wenye mazoea ya kula tunda hilo kwa wingi, huwa na afya njema na uzito unaokubalika kiafya. Tunda hilo lenye mafuta mengi, linasaidia kupunguza hatari ya mtu kupatwa…

Read More

Nassor Kapama mbioni kutua Tabora United

KIUNGO mkabaji wa zamani wa Simba, Mtibwa Sugar na Kagera Sugar, Nassor Kapama licha ya kushindwa kuibakisha timu yake anatajwa kujiunga na Tabora United kwa ajili ya msimu ujao 2025/26. Kapama ambaye alirejea Kagera Sugar akitokea Mtibwa Sugar amemaliza mkataba wake na waajiri wake hao hivyo ataondoka akiwa mchezaji huru. Chanzo cha kuaminika kutoka kwa…

Read More

Mahakama Kuu yatupa maombi ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, baada ya kukubali pingamizi la Jamhuri kuwa yako kinyume cha sheria. Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa, Julai 11, 2025 na Jaji Elizabeth Mkwizu. Jaji Mkwizu amesema maombi ya mapitio yaliyowasilishwa na Lissu mahakamani hapo yapo…

Read More

TABORA KUJENGA KIWANDA CHA TUMBAKU

::::: Na Ester Maile Dodoma  Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Matiko Chacha, amesema kuwa kuimarika kwa upatikanaji wa mbolea mkoani humo kumechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la tumbaku kutoka kilo 29,829,742 mwaka 2021 hadi kilo 62,964,460 mwaka 2025. Akizungumza leo Ijumaa Julai 11, 2025 katika Ukumbi wa Idara ya Habari…

Read More

Nickson Kibabage kumfuata Kijili Singida Black Stars

BEKI wa zamani wa Yanga, Nickson Kibabage ambaye amemaliza mkataba na timu hiyo aliyoitumikia kwa miaka miwili anatajwa kurejea kwa waajiri wake wa zamani Singida Black Stars iliyomnyakua beki wa kulia wa Simba, Kelvin Kijili. Kibabage alijiunga na Yanga kwa mkopo wa miezi sita na baadae kumnunua mazima kwa mkataba wa miaka miwili ambayo imetamatika…

Read More

Uende haja kubwa mara ngapi kwa siku, wiki?

Dar/Geita. Kumekuwa na mitazamo tofauti kuhusu kwenda haja kubwa kwa siku. Wapo waendao mara tatu, huku wengine kwao ni tukio adimu na maalumu. La muhimu la kujifunza ni kuwa, namna uendevyo msalani unaweza kufichua jambo kuhusu afya yako, wataalamu wa afya wakieleza uendaji haja kubwa hutofautiana kati ya mtu na mtu. …

Read More

Wenye ulemavu watengewa Sh570 milioni za mikopo

Unguja. Katika kutatua changamoto za watu wenye ulemavu kuhusu upatikanaji wa mikopo inayotolewa na Serikali, Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) na Baraza la Taifa la Watu Wenye Ulemavu Zanzibar wamesaini  hati ya makubaliano yenye lengo la kuhakikisha watu hao wanapata fursa bila vikwazo. Akizungumza leo Ijumaa, Julai 11, 2025, katika utiaji saini huo,…

Read More