Habari mpya kuhusu Kocha wa Yanga

YANGA inaendelea na marekebisho kadhaa ya kiufundi kwenye kikosi chake kuelekea kwenye maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara mara nne mfululizo, inaripotiwa kwamba wataweka kambi ya maandalizi nchini Rwanda wiki chache zijazo. Lakini habari mpya ni kwamba jina la Kocha kijana Mfaransa mwenye…

Read More

Mecky Maxime atajwa Mtibwa Sugar

LICHA ya kuipambania Dodoma Jiji kujihakikishia nafasi ya kucheza ligi msimu ujao 2025/26, Kocha Mecky Maxime hatakuwa sehemu ya benchi la ufundi la timu hiyo akitajwa kurudi Mtibwa Sugar. Maxime alijiunga na Dodoma Jiji, Juni 19, 2024 akitokea Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars na anatajwa kurudi timu aliyoicheza na kuifundisha kwa muda…

Read More