
Che Malone mlangoni Simba | Mwanaspoti
Licha ya Simba kushindwa kufikia malengo ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa nne mfululizo timu mbalimbali zinaendelea kupishana kuwania saini za baadhi ya nyota wa klabu hiyo ya Msimbazi. Che Malone, alitua Msimbazi misimu miwili iliyopita akitokea Coton Sport ya Cameroon na kutengeneza ukuta mgumu sambamba na Henock Inonga aliyetimka klabuni…