Che Malone mlangoni Simba | Mwanaspoti

Licha ya Simba kushindwa kufikia malengo ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa nne mfululizo timu mbalimbali zinaendelea kupishana kuwania saini za baadhi ya nyota wa klabu hiyo ya Msimbazi. Che Malone, alitua Msimbazi misimu miwili iliyopita akitokea Coton Sport ya Cameroon na kutengeneza ukuta mgumu sambamba na Henock Inonga aliyetimka klabuni…

Read More

UNICEF inaondoa ‘mauaji yasiyowezekana’ ya familia zinazojiunga na misaada huko Gaza – Maswala ya Ulimwenguni

Catherine Russell alisema alishangazwa na mauaji yaliyoripotiwa ya Wapalestina 15, pamoja na watoto tisa na wanawake wanne, ambao walikuwa wakingojea kwenye mstari wa virutubisho vya lishe vilivyotolewa na Mradi wa Tumaini, A UNICEF shirika la washirika. Tukio hilo lilitokea katika Deir al-Balah. Watu 30 wa ziada walijeruhiwa, pamoja na watoto 19. Ripoti za habari zinaonyesha…

Read More

JKU Princess mabingwa Ligi ya Wanawake Zanzibar

KIKOSI cha JKU Princess, kimeibuka mabingwa wa Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (ZWPL) baada ya kuifunga Sauti Sisters mabao 2-0. Wakati JKU Princess ikiwa bingwa wa ligi hiyo iliyoshirikisha timu nne, Warriors Queens imemaliza ligi hiyo bila kuvuna pointi hata moja. Ligi hiyo imetamatika Alhamisi ya Julai 10, 2025 ulipochezwa mchezo huo ulioipa ubingwa JKU…

Read More

Beki mkongoman atajwa Azam FC

AZAM FC imeanza mazungumzo na Al Hilal ya Sudan ili kupata saini ya beki wa kulia, mkongomani Steven Ebuela, ambaye yuko nchini kwa takriban wiki sasa. Azam imeanza maandalizi mapema ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025/26, ikiwatambulisha baadhi ya wachezaji wake akiwemo kipa Aishi Manula, Muhsin Malima, Lameck Lawi na Kocha Florent Ibenge….

Read More

Mahakama Kuu kutoa uamuzi leo maombi ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 11, 2025 imepanga kutoa uamuzi wa maombi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa na Jaji Elizabeth Mkwizu baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili katika shauri hilo. Lissu amefungua shauri la maombi akipinga uamuzi wa Mahakama ya…

Read More

Tuhamishie nguvu zote katika CHAN sasa

YALIYOPITA si ndwele na kijiwe kinatembea na kauli hiyo muda huu mfupi ambao umebakia kabla ya kuanza kwa Fainali za Mafaifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024. Ni mashindano yatakayofanyika katika ardhi yetu kwa maana Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu wenyeji wa mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika…

Read More

Johora bado yupo sana Mashujaa

UONGOZI wa Mashujaa umeendelea kumshikilia kipa wao Erick Johora baada ya kumwongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuendelea kusalia katika kikosi hicho. Kipa huyo alipoteza nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza cha timu hiyo akizidiwa maujanja na Patrick Muntari aliyemaliza na clean sheet 12 akiachwa nyuma tano na kinara Moussa Camara aliyemaliza na 17. Chanzo…

Read More

Wamisri wawili wamwania beki KMC

ALIYEKUWA beki wa kushoto wa KMC, Rahim Shomary ameziingiza vitani timu mbili za National Bank of Egypt SC na Haras El Hodood zote za Misri zilizoonyesha kuvutiwa na uwezo mkubwa wa nyota huyo, kwa ajili ya kuzichezea msimu ujao. Nyota huyo amemaliza mkataba na KMC na hakuna mazungumzo mapya yaliyofanyika ili kuongeza mwingine na wawakilishi…

Read More