Juma Mgunda nje, Mzambia anaingia Namungo

UONGOZI wa Namungo FC umeachana rasmi na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda, baada ya kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba kwa pande zote mbili, huku Mzambia Hanour Janza aliyewahi kuifundisha akitajwa kurithi mikoba hiyo kwa msimu ujao wa mashindano. Mbali na Mgunda, Namungo pia imeshawapa ‘thank you’ wachezaji watatu waliokuwa na kikosi hicho…

Read More

WAFCON 2024: Twiga Stars hata droo tu

BAADA ya kuanza vibaya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), timu ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars usiku wa leo inarudi tena uwanjani kutesti zali kwa kukabiliana na watetezi wa taji hilo, Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’. Twiga ilianza kwa kulambwa bao 1-0 na Mali katika mechi ya kwanza ya…

Read More

KONA YA WASTAAFU: Mstaafu anapotamani kuwa mbunge!

Hatimaye Bunge, lililo moja ya mihimili minne ya Taifa likiwa na wabunge wanaopaswa kuwawakilisha wananchi, akiwemo huyu mstaafu, limemaliza awamu yake ya miaka mitano, na kama kanuni zilivyo, kuchapa lapa na kurudi majimboni kuomba tena ‘kula’ nyingine! Tumeona wabunge karibu 390 waliokuwa wakipata Sh14 milioni kwa kila mmoja wao kama mshahara wa mwezi, marupurupu na…

Read More

Siku 170 za Mbowe nje ya siasa

Dar es Salaam. Zimetimia siku 170, tangu Freeman Mbowe alipowekwa kando kwenye uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Tundu Lissu huku maswali yakitawala likiwemo anakwenda wapi? Mbowe aliyeiongoza Chadema kwa miaka 21 kwa nafasi ya uenyekiti, uongozi wake ulitamatika asubuhi ya Januari 22, 2025 baada ya wajumbe…

Read More

Yanga yatia mkono dili la kiungo Simba

LICHA ya Yanga kufanikisha kumuongeza mkataba mpya kiungo Khalid Aucho ili aendelea kuitumikia timu hiyo, inadaiwa mabosi wa Jangwani wameamua kutia mkono katika dili la kiungo mmoja fundi wa mpira kutoka klabu ya Cs Sfaxien aliyekuwa akiwindwa na Simba. Lengo la Yanga kutaka kumvuta kiungo huyo ni kumuongezea nguvu Aucho, lakini akishikilia pia hatma ya…

Read More

Wasauzi wafika bei kwa Mukwala

MABOSI wa Simba wanaendelea kusuka kikosi hicho kimyakimya kwa mapendekezo ya kocha Fadlu Davids, aliyepo mapumziko kwa sasa, lengo likiwa ni kurudi katika msimu mpya wa mashindano wakiwa wa motoo. Hata hivyo, mabosi hao kwa sasa wanasikilizia dili la fedha ndefu kutoka kwa klabu mbili maarufu Afrika zinazotaka kumng’oa straika wa mabao wa klabu hiyo…

Read More

Ikanga Speed aigomea Yanga | Mwanaspoti

KIUNGO Mshambuliaji, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ aliyeingia Yanga kupitia dirisha, imetoa masharti mazito kwa mabosi wa klabu hiyo waliotaka kumtoa kwa mkopo kwenda Singida Black Stars. Yanga ni kama bado haijamuelewa vya kutosha Ikanga Speed waliyemsajilui Januari mwaka huu akitokea AS Vita na hivyo, walikubaliana ikiwezekana wampeleke Singida akanoe makali zaidi na kupata nafasi ya…

Read More