KAMPENI PIKASMATI YAWAFIKIA WATANZANIA

Charles Barnabas Kiongozi wa Ubia na Uhusiani wa Mradi wa masuala ya Nishati wa Services Modern Energy Cooking ambao unafadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (UKAD) kupitia ubalozi wa Uingereza Tanzania aki akizungumza na waandishi wa habariĀ  jijini Dar es salaam leo tar 10 July 2025. Mwakilishi wa Kampuni inayojishughulisha na matumizi ya nishati…

Read More

UN inataka mabadiliko ya vikwazo vya Amerika juu ya rapporteur maalum Francesca Albanese – Maswala ya Ulimwenguni

Wanataka uamuzi wa kubadilishwa, kuonya inaweza kudhoofisha mfumo mpana wa haki za binadamu wa kimataifa. Vizuizi vilitangazwa na Katibu wa Jimbo la Merika Marco Rubio Jumatano chini ya agizo la Utendaji wa Rais. Bwana Rubio alidai kuwa Bi. Albanese “alikuwa ameshirikiana moja kwa moja na Korti ya Jinai ya Kimataifa . Amerika na Israeli sio…

Read More

Waziri Aweso aitaka Dawasa kufikisha maji kwa wananchi

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametembelea na kukagua maboresho yaliyofanyika katika mtambo wa kuzalisha maji Ruvu Juu na kutoa maagizo kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuhakikisha wanafikisha maji kwa wananchi. “Kwa kweli hali inaridhisha sasa, nilitoa maagizo ya maboresho katika mtambo huu, leo nimekuja kujionea,…

Read More

Kinyerezi III sasa kuingiza megawati 1,000 gridi ya Taifa

Dar es Salaam. Kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme kila siku, Serikali imetangaza kuanza kutekeleza mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa gesi cha Kinyerezi III, kitakachozalisha megawati 1,000. Kituo hicho kinajengwa eneo la Kinyerezi, jijini Dar es Salaam. Pia, imeelezwa kuwa mashine zote tisa za kuzalisha umeme katika Bwawa la Kufua…

Read More

WAJUMBE 3000 KUSHIRIKI KONGAMANO LA TAASISI YA ‘MTETEZI WA MAMA’ KIZIMKAZI’ ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Mtetezi wa Mama unatarajia kufanya Kongamano litakalowahusisha wanachama wake zaidi ya 3000 kutoka Tanzania Bara na Visiwani, lenye lengo la kuzungumzia masuala mbalimbali yaloyofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza kuhusu kongamano hilo linalotarajiwa kufanyika Agosti 16 Kizimkazi Zanzibar, Mwenyekiti wa Taasisi hiyo…

Read More

Afrika yaonyeshwa njia ya kukuza uchumi wake

Capetown. Mataifa ya Afrika yametakiwa kubadili mtazamo wa kutegemea kusaidiwa na mataifa yaliyoendelea na badala yake, yajikite katika kukuza ujasiriamali kwa kuwa na mikakati thabiti na sera zinazovutia ukuaji wa biashara ili kukuza uchumi wake. Pengine kwa rasilimali za asili Afrika inaongoza lakini bara hilo la pili kwa idadi ya watu duniani, siyo miongoni hata…

Read More