Mkakati huduma ya daladala baada ya mwendokasi

Dar es Salaam. Katikati ya dhana kuwa kuimarika kwa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutawaathiri wamiliki wa daladala, Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), umesema tayari utaratibu maalumu umepangwa kuhakikisha biashara ya wasafirishaji hao haiathiriki. Mtendaji Mkuu wa Udart, Dk Athumani Kihamia amesema utekelezwaji wa utaratibu huo, utahusisha kuundwa kwa kampuni ili daladala zote…

Read More

Wapinzani Kenya waungana kumkabili Ruto

Nairobi.  Wakati Serikali ya Kenya chini ya Rais William Ruto ikipitia misukosuko kutoka kwa wananchi wake, viongozi wa vyama vya upinzani wameungana ili kumkabili huku wakiapa kumwondoa madarakani kwenye uchaguzi ujao, mwaka 2027. Wapinzani hao wameungana zikiwa zimepita siku chache tangu kufanyika kwa maandamano ya Sabasaba yaliyofanyika Julai 7, 2025 katika kaunti 17 nchini humo…

Read More

Mateo Qares afariki dunia, kuzikwa Babati Jumamosi

Babati. Mwanasiasa mkongwe nchini, Mateo Qares, ambaye amewahi kuwa mbunge wa Babati mkoani Manyara na waziri katika wizara mbalimbali nchini, amefariki dunia jana Julai 9, 2025. Akizungumzia kifo hicho leo Julai 10, 2025 msemaji wa  Umoja wa wanaManyara (Norivada), Mikael Aweda amesema Qares alifariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es…

Read More

KESI YA MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA: Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa- 11

Hamidu Mwanga kutoka Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, alihitimisha kuwa ushahidi wa Jamhuri umethibitisha kuwa, Mussa Hamis alifariki na kifo chake hakikuwa cha kawaida. Katika sehemu hii, Jaji Mwanga anazungumzia nafasi ya ushahidi wa kimazingira katika kuamua kiini cha pili cha kuthibitisha shitaka la mauaji ya kukusudia kama maofisa hao saba wa Jeshi…

Read More