Hati miliki za kimila 1,200 zatolewa Kishapu

Kishapu. Hati miliki za kimila 1,200 zimetolewa kwa wananchi wa vijiji vya Idukilo na Mwaduo Lohumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, ikiwa ni juhudi za Serikali kutatua changamoto za migogoro ya mipaka ya ardhi kati ya wananchi na wawekezaji, pamoja na kuimarisha usalama wa miliki za ardhi. Akizungumza leo Julai 10, 2025 wakati wa utoaji hati…

Read More

Wawili wafariki ajali ya gari lililokuwa likisafirisha maiti

Morogoro. Watu wawili wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari lililokuwa likisafirisha maiti, iliyotokea katika Kijiji cha Badilo kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia dereva wa gari hilo, Mohamed Kisukari (43), mkazi wa Kimara, Dar es Salaam, kwa kosa la kuendesha gari kwa uzembe…

Read More

WAZIRI AWESO AWATOA UHAKIKA WA MAJI DAR NA PWANI

Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso (Mb) amewatoa hofu wakazi wa mikoa ya Dar na Pwani kuhusu upatikanaji wa huduma ya majisafi mara baada ya kutembelea na kukagua maboresho yaliyofanyika katika mtambo wa kuzalisha maji Ruvu juu “Kwakweli hali inaridhisha sasa, nilitoa maagizo ya maboresho katika mtambo huu, leo nimekuja kujionea, nitoe pongeze kwa Menejimenti ya…

Read More

Mpango atoa neno uwekezaji kutumia fedha za mifuko ya hifadhi

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amezishauri nchi za Afrika zinapowekeza kwenye miradi ya miundombinu kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii, kuwekeza kwenye miradi inayotekelezeka ambayo haitadhoofisha uwezo wa mifuko hiyo na kuathiri malengo ya kuanzishwa kwake. Dk Mpango ameyasema hayo leo Alhamisi Julai 10, 2025 jijini Arusha, alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika…

Read More

Fadlu ashikilia faili la kiungo Mkongo

KIKOSI cha Simba kinaendelea kupiga hesabu ya kuingiza mashine mpya na kuzitema zile ambazo hazina mipango nayo kwa msimu ujao, lakini kuna kiungo mshambuliaji mmoja kutoka DR Congo ambaye faili lake limetua mezani mwa kocha Fadlu Davids. Kocha huyo aliyepo mapumziko kwa sasa, ndiye anayesubiriwa kufanya maamuzi ya kusajili wa kiungo huyo aliyewahi kuhusishwa na…

Read More