Wafanyakazi majumbani walia na mchakato kuridhia mkataba wa ILO.

Morogoro: Wafanyakazi wa majumbani wameiomba Serikali kukamilisha mchakato wa kuridhia na kupitisha mkataba wa kazi zenye staha kwa wafanyakazi wa majumbani, ili kuwezesha upatikanaji wa haki zao za msingi, kutambua haki, stahiki na sheria zinazohusu haki na wajibu wao. Mmoja wa wafanyakazi hao, Desdelia Saimon, amesema kuchelewa kuridhiwa kwa mkataba huo kumeendelea kuwafanya wafanye kazi…

Read More

TANZANIA YANG’ARA TUZO ZA UBORA ZA SADC- MADAGASCAR

NA EMMANUEL MBATILO MICHUZI TV Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendela kutoa hamasa kwa washiriki wa Tuzo za Ubora kwa mwaka 2025/26 kufanya maombi ambapo wadau wameaswa kuzingatia mwisho  wa tarehe ya kutuma maombi ya ushiriki ambayo ni Julai 31, 2025, kwa vipengele vyote vilivyotangazwa, katika pande zote za Muungano wa Tanzania. Tuzo hizo zinashindaniwa…

Read More

Mmoja ashikiliwa na Polisi tuhuma mauaji ya Mkaguzi Msaidizi Magereza

Shinyanga. Mkaguzi msaidizi wa Magereza Mkoa wa Shinyanga, Malindi Kilucha (37) ameuawa kwa kuzibwa mdomo na pua kwa kutumia fulana aliyokuwa amevaa na watu wasiojulikana katika kitongoji cha Iwelyangula kata ya Kitangili Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Julai 29, 2025 baadhi ya mashuhuda ya tukio hilo wameeleza namna walivyopata taarifa hizo,…

Read More

CCM yawatema wabunge 26 | Mwananchi

Dodoma. Mchujo wa awali wa watia nia ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, umewaweka kando wabunge 26 waliokuwa wakihudumu katika Bunge lililopota. Hatua hiyo imeashiria ushindani mkali na mabadiliko yanayotarajiwa ndani ya chama hicho katika harakati zake za kujiimarisha kuelekea uchaguzi huo mkuu. Uteuzi huo umefanywa na Kamati…

Read More

Mbinu kuepuka athari hasi za AI kuelekea uchaguzi Mkuu

Dar es Salaam. Wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) wameeleza namna Tanzania inavyoweza kukabiliana na athari hasi za teknolojia ya Akili Unde wakati Taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu. Wataalamu hao waliokuwa wakizungumza katika Jukwaa la kwanza la kitaifa la Akili Unde lililofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam, wametaja…

Read More

Zanzibar ilivyojipanga fursa ya CHAN, maandalizi yapamba moto

Unguja. Wakati mashindano ya Michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) yakitarajiwa kuanza Agosti 2, 2025 katika viwanja mbalimbali, mamlaka husika Zanzibar zimeeleza namna zilivyojipanga katika utoaji wa huduma za afya, usalama, na mapokezi ya mashindano hayo, huku zikitaja hoteli kufurika kutokana na tukio hilo muhimu. Kwa Zanzibar, Uwanja wa Amaan Complex Stadium utatumika kwa ajili…

Read More

ZAHARA MICHUZI ACHOMOZA UBUNGE VITI MAALUM TABORA

::::: KAMATI Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa imempitisha Mkurugenzi Mtendaji (DED) katika Halmashauri tatu tofauti, Meatu (Simiyu), Ifakara (Morogoro), na Geita (Geita Mjini) Bi. Zahra Muhidin Michuzi katika uteuzi wa awali wa wagombea nafasi za ubunge kupitia Viti Maalumu Wanawake katika Mkoa wa Tabora. Zahra Michuzi anachuana na wagombea nane (8) akiwemo Aziza Sleyum…

Read More