ACT­-Wazalendo yazngumzia tembo wanaoharibu mazao, wataja mkakati kukabiliana nayo

Tunduru. Kuvuna tembo na kupitia upya mipaka ya hifadhi ni miongoni mwa mambo yatakayotekelezwa na Chama cha ACT –Wazalendo, ili kupunguza changamoto ya uharibifu wa mazao na madhara kwa binadamu inayosababishwa na wanyama hao. Masuala hayo yatafanyika endapo ACT- Wazalendo itafanikiwa kushika dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 ambapo chama hicho kimewaomba Watanzania kuwaunga…

Read More

Dar City, KIUT kazi ipo BDL

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unatarajiwa kurejea upya kesho Ijumaa na  Uwanja wa Donbosco Upanga kutakuwa na vita nzito kati ya Dar City dhidi ya KIUT. Mchezo huo unasuburiwa kwa hamu na mashabiki wengi kuona kama KIUT yenye historia ya kufunga vigogo wa ligi, baada ya kuzifunga JKT…

Read More

Kumekucha Yanga, mastaa sita Kuachwa

BAADA ya Yanga Princess kuonyesha kiwango kizuri msimu huu, itaachana na wachezaji sita na kuongeza nyota wapya. Nyota hao ni Danai Bhobho ambaye alitumikia Yanga kwa msimu mmoja akitokea Simba Queens, Rebeca Ajimida kutokea Nigeria ambaye hakupata nafasi ya kucheza kikosini hapo. Neema Paul aliyemaliza mfungaji bora kikosini hapo akiweka kambani mabao 12 sawa na…

Read More

Aishi Manula kachagua klabu sahihi

HAKUNA mahali bora kama nyumbani na ndiyo maana wahenga wakasema nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani. Inapendeza zaidi kuona mtoto anapoamua kurejea nyumbani baada ya kukaa nje kwa miaka kadhaa katika harakati za utafutaji wa riziki na changamoto mpya. Kijiweni hapa tunaona imekuwa ni jambo bora kwa kipa Aishi Manula kurejea katika klabu ya Azam…

Read More

POLISI WATOA UFAFANUZI MADAI YA ACT WAZALENDO

JESHI la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo kwamba wamemwandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, wakitaka ufafanuzi juu ya madai kuwa viongozi wao wametakiwa kuwasilisha taarifa na majina ya watia nia ya kugombea ubunge na udiwani kwa Jeshi la Polisi. Jeshi la Polisi linapenda…

Read More

Msimu umeisha, boresheni viwanja sasa

MSIMU unapomalizika, ni fursa nzuri kwa wachezaji kupumzisha miili baada ya kuitumikisha kwa zaidi ya miezi nane kama sehemu ya kuwajibika kwa timu zilizowaajiri. Viongozi wa timu na maofisa wa mabenchi ya ufundi, wanakitumia kipindi hiki kuboresha vikosi vyao kwa kuwaondoa baadhi ya wachezaji ambao wanaonekana hawawezi kuwa na mchango mkubwa kwa timu na kuingiza…

Read More

GF WASHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SABASABA 2025

Washindi wa jumla wa maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa kampuni ya GF Trucks & Equipment’s ltd imesherehekea ushindi huo kwa staili ya aina yake kwa kujumuisha Wadau na wafanyakazi wa kampuni hiyo pamoja na wateja katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es salaam Kufuatia ushindi wa jumla uongozi wa kampuni hiyo uliwajumuisha pamoja…

Read More