Kamati ya maadili ya uchaguzi yazinduliwa

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi, amezindua rasmi kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa ikiwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uchaguzi wa baadaye mwaka huu unakuwa huru, haki na wa amani. Uzinduzi wa kamati hiyo ni sehemu ya mchakato wa kushirikisha wadau wa uchaguzi hususan vyama vya…

Read More

Kamati ya maadili ya uchaguzi yazinduliwa

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi, amezindua rasmi kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa ikiwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uchaguzi wa baadaye mwaka huu unakuwa huru, haki na wa amani. Uzinduzi wa kamati hiyo ni sehemu ya mchakato wa kushirikisha wadau wa uchaguzi hususan vyama vya…

Read More

Kiungo KMC aziingiza vitani Namungo, JKT Tanzania

KIUNGO mkabaji wa zamani wa KMC, Pascal Mussa ameziingiza vitani Namungo na JKT Tanzania zinazoiwania saini yake baada ya kumalizana na waajiri wake wa zamani. Mussa tayari amewaaga KMC na amelithibitishia Mwanaspoti tayari ana ofa mbili mkononi kutoka Namungo na JKT Tanzania na mazungumzo baina ya pande zote mbili yanaendelea vizuri. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema…

Read More

Sagini aitaka OCPD kuelimisha jamii mchakato wa utungwaji wa sheria za nchi.

   Na: Calvin Gwabara – Dar es salaam. Watanzania wametakiwa kutambua kuwa miswada ya sheria haitoki serikalini pekee bali hata wananchi wanaweza anzisha mchakato na kupendekeza mswada wa sheria wanayoitaka kutungwa kupitia wawakilishi wao bungeni. Mwandishi wa Sheria kutoka OCPD Bwana Vincent Masalu (Wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na…

Read More

Airtel Tanzania Yawapa Walimu Mafunzo ya Ujuzi wa Kidijitali Kupitia Mpango wa SmartWASOMI

Airtel Tanzania kupitia Airtel Africa Foundation, kwa kushirikiana na UNICEF na Wizara ya Elimu, imeandaa warsha ya mafunzo kwa walimu wa IT chini ya mpango wa Airtel SmartWASOMI, mradi wa kisasa wa ujifunzaji wa kidijitali unaolenga kuboresha upatikanaji wa elimu bora kupitia teknolojia. Warsha hiyo imewakutanisha walimu 60 kutoka shule za msingi na sekondari ambazo…

Read More

Wajumbe CCM wanoa vichinjio | Mwananchi

Songea/Kilimanjaro. Ni zamu yao au muda wao kutamba wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ndiyo unavyoweza kusema kwa sasa. Hii inatokana na jukumu kubwa lililopo mbele yao la kuamua nani apite kwenye mchujo wa kura za maoni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Kama wewe ni mgombea wa CCM na hujajipanga hadi sasa, basi itakuwia vigumu…

Read More