ACT­-Wazalendo yataja mkakati kupunguza uharibifu wa mazao

Tunduru. Kuvuna tembo na kupitia upya mipaka ya hifadhi ni miongoni mwa mambo yatakayotekelezwa na Chama cha ACT –Wazalendo, ili kupunguza changamoto ya uharibifu wa mazao na madhara kwa binadamu inayosababishwa na wanyama hao. Masuala hayo yatafanyika endapo ACT- Wazalendo itafanikiwa kushika dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 ambapo chama hicho kimewaomba Watanzania kuwaunga…

Read More

Kesi ya mgawanyo wa rasilimali Chadema kunguruma leo

Dar es Salaam. Kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali inayokikabili Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kusikilizwa leo Alhamisi, Julai 10, 2025 Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Kesi hiyo imefunguliwa na Said Issa Mohamed, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa  chama hicho Taifa, Zanzibar, Ahmed Rashid Khamis na Maulida Anna Komu, ambao ni…

Read More

Kuchelewesha ushuru wa Amerika kunakuza kutokuwa na uhakika wa biashara, anaonya juu ya Uchumi wa UN – Maswala ya Ulimwenguni

Wakati pause ya kwanza ya siku 90 kwenye ushuru unaoitwa “kurudisha” ulitoa unafuu ukilinganisha na ongezeko lililopangwa la hadi asilimia 50, Amerika ilitoa ushuru wa msingi wa asilimia 10 badala yake, iliyoongezwa juu ya majukumu yaliyopo. Hii inamaanisha nchi nyingi – haswa zinazoendelea uchumi – zinakabiliwa na gharama kubwa kusafirisha bidhaa kwenda Amerika. Kusimamishwa kwa…

Read More

Simba yapanda dau kwa Muda

WAKUBWA wa Kariakoo wameanza kuonyeshana ubabe wa matumizi ya fedha, ambapo mabosi wa klabu za Simba na Yanga hivi sasa wanazimwaga ili kunasa mastaa wa maana kwa ajili ya mashindano msimu ujao wa soka. Nyuma ya ubabe huo unaambiwa kwamba yule kiungo mahiri aliyemaliza mkataba Yanga, Mudathir Yahya amenasa katika mtego wa pande hizo mbili,…

Read More

Kambi yanga iko huku | Mwanaspoti

YANGA imebakiza hatua chache kumtangaza kocha mpya wa timu hiyo, lakini mezani kwa mabosi wao kuna nchi tatu zinataka kuona ufundi wa kwanza wa mtaalamu huyo wa ufundi. Yanga inaelezwa imeshamalizana na kocha mpya wa kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri, huku jina la Julien Chevalier aliyekuwa Asec Mimosas ya Ivory Coast…

Read More

Rais Samia atajwa siri ya ushindi Mwiba Lodge kuwa kambi bora ya kifahari ya Utalii Tanzania.

Na Pamela Mollel,Meatu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu ametajwa kuchochea Ushindi ya Tuzo ya Tanzania Leading Luxury Tanted Safari Camp 2025 iliyopata Mwiba Lodge iliyopo wilaya ya Meatu, mkoa wa Simiyu katika Tuzo za Utalii Duniani(World Travel Awards)zilizofanyika Jijini Dar es Saalam wiki iliyopita. Ushindi huu wa kwanza wa kihistoria…

Read More