‘Amani ya nchi imo mikononi mwa vyombo vya habari’

Dar es Salaam. Wadau wa habari wamesema ili nchi ya Tanzania iendelee kuwa na amani na utulivu, vyombo vya habari vina jukumu la kulinda hali hiyo kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Mwaka huu Tanzania, itafanya uchaguzi mkuu utakaowaweka madarakani Rais, wabunge na madiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Hayo yamesemwa…

Read More

INEC kutangaza ratiba ya uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele amesema ratiba ya uchaguzi mkuu 2025, wanatarajia kuiweka hadharani kati ya Julai 25 na Julai 26, 2025. Amesema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa hotuba ya kuahirisha shughuli za Bunge la 12, Juni 27, 2025, INEC wameanza…

Read More

Nafasi ya vyombo vya habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Dar es Salaam. Wadau wa habari nchini wameeleza mchango wa vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu, huku wakisisitiza kipimo muhimu cha demokrasia katika nchi yoyote duniani ni nafasi ya uhuru wa vyombo vya habari kufanya kazi bila kuingiliwa. Hata hivyo, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi leo Julai…

Read More

Zanzibar yanadi maeneo sita ya uwekezaji

Dar es Salaam.  Wakati Zanzibar inajipanga kuwa kituo bora cha uwekezaji kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi imeainisha ikiainisha sekta sita zenye fursa kubwa za ukuaji wa haraka zinazoweza kutumiwa na wawekezaji. Sekta hizo ni uchumi wa buluu, utalii, mali isiyohamishika (real estate), viwanda, kilimo na ushirikiano kati ya sekta binafsi na ya…

Read More

Kituo cha kukuza, kuhifadhi tamaduni za Wasukuma mbioni

Shinyanga. Katika kuhakikisha mila na desturi zinalindwa na kuwaepusha vijana kuiga tamaduni za kigeni, Mtemi Makwaiya wa tatu wa Busiya, Austini Makani ameweka wazi mpango wa kujenga kituo cha kukuza na kuhifadhi utamaduni wa Wasukuma. Hayo yameelezwa leo Julai 9, 2025 na Mtemi Makani ambaye anakuwa chifu wa 24 wa Sanjo ya Busiya Ukenyenge wilayani…

Read More

Yemen inastahili tumaini na hadhi, Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

Kwa zaidi ya muongo mmoja, Yemen amevumilia mzozo kati ya waasi wa Houthi na vikosi vya serikali. Mamilioni ya maisha na maisha hubaki hatarini, na mzozo unaonyesha hakuna ishara ya kumalizika. “Tamaa ya kuongezeka kwa jeshi“Hans Grundberg, mjumbe maalum wa UN kwa Yemen, aliwaambia mabalozi. Wakati vurugu zinabaki kuwa tishio la haraka, alibaini kuwa uchumi…

Read More

Wawili wafariki kwa ajali Tabora

Tabora. Watu wawili wamefariki dunia akiwemo dereva wa bajaji ya mizigo na msaidizi wake kufuatia kugongwa na basi la abiria kampuni ya Yehova Yire, lililokua likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Kigoma baada ya kuacha njia  na kuigonga bajaji hiyo. Akizungumzia ajali hiyo Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Costantine Mbogambi amesema imetokea katika…

Read More

Serikali iunge mkono juhudi za wawekezaji katika kuboresha miundombinu maeneo ya uzalishaji

Njombe. Serikali imetakiwa kuunga mkono juhudi za wawekezaji ambao wameonyesha jitihada katika shughuli za maendeleo  kwa kuboresha miundo mbinu muhimu inayoelekea katika maeneo ya uzalishaji ili kuwatia moyo na kuona kuwa wapo pamoja nao na wanaweza kuwekeza nchini. Hayo yamesemwa leo Julai 9,2025 na mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka wakati akizindua barabara yenye…

Read More

Mahakama yatoa maelekezo kwa Serikali kesi bosi wa Jatu

Dar es Salaam. Baada ya upelelezi kusuasua katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33) Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa maelekezo kwa Serikali. Gusaya anakabiliwa na mashitaka mawili ambayo ni kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha kiasi hicho cha fedha. Maelekezo hayo ni…

Read More

Mahakama yatupilia mbali kesi ya mke wa Mdude

Mbeya. Mahakama Kuu ya Tanzania  Kanda ya Mbeya imetupilia mbali shauri lililofunguliwa na mke wa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mwanaharakati, Said Nyagali, maarufu Mdude,  Sije Mbughi  dhidi ya wajibu maombi sita, akiwapo Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP). Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa leo Jumatano Julai 9, 2025 na…

Read More