Wakulima nchini wahimizwa kulima mazao ya asili

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia masuala ya maendeleo ya  mazao, usalama wa chakula pamoja na ushirika, Dk Stephen Nindi ametoa wito kwa wakulima kuyakumbuka mazao ya asili ambayo kwa sasa yanaonekana kusahaulika nchini. Nindi ameyasema hayo Julai 8, 2025 wakati wa ufunguzi wa awamu ya pili ya mradi wa…

Read More

Mvutano pande mbili NCCR-Mageuzi msajili atoa msimamo

Dar es Salaam. Chama cha NCCR-Mageuzi kimekumbwa na mvutano wa kiuongozi, kufuatia madai kuwa aliyekuwa mwenyekiti wake, James Mbatia, alivamia ofisi za chama hicho kwa nia ya kurejesha madaraka. Hata hivyo, Mbatia na wafuasi wake wamekanusha tuhuma hizo, wakizitaja kuwa ni za kupotosha. Kutokana na mvutano huo, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kupitia…

Read More

NMB, Save the Children wazindua Programu ya Ujuzi kwa Maendeleo ya Ujasiriamali na Ajira

MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB kwa kuzindua Programu Maalum ya Ujuzi kwa Maendeleo ya Ujasiriamali na Ajira kwa Vijana (SEED), inayolenga kuwaongezea vijana wa Kitanzania Maarifa na Ujuzi wa kujiajiri, pamoja na kuwasaidia mitaji ya kuanzisha na kuendeleza biashara zao wenyewe. SEED inatekelezwa kwa pamoja kati ya NMB Foundation na…

Read More

Kikwete, Ashiriki Mkutano Maalumu London – Global Publishers

Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akihutubia Jijini London Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa Afrika ulioandaliwa na Jarida la Uongozi la Afrika (African Leadership Magazine) na Taasisi ya Uongozi wa Afrika (African Leadership Organization) jijini London, Uingereza. Mkutano huo unazungumzia masuala mbalimbali ya Afrika,…

Read More

Samaki waadimika Tanga bei yapanda maradufu

Tanga. Biashara ya samaki mkoani Tanga imekuwa ngumu baada ya bidhaa hiyo kuadimika, huku wafanyabiashara wakilia kutokana na bei nayo kuongezeka kila kukicha. Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti katika soko la samaki la Mwalo wa Deep Sea jijini Tanga leo Jumatano Julai 9, 2025 wafanyabiashara hao wamesema samaki hawapatikani kwa wingi, hali inayosababisha wachache…

Read More

Sita wafikishwa mahakamani tuhuma mauaji ya Sheikh Jabir

Unguja. Watu sita wamefikishwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakishtakiwa kwa tuhuma za kumuua Sheikh Jabir Haidar Jabir. Akiwasomea mashitaka yao leo Julai 9, 2025 mbele ya Jaji Khadija Shamte Mzee, Wakili kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar, Anuwar Saaduni amedai washtakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na kosa la mauaji ya kukusudia ya Sheikh…

Read More