Bocco ampisha Paul Peter JKT Tanzania

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Dodoma Jiji, Paul Peter amejiunga na JKT Tanzania akipishana na John Bocco anayetajwa kuachwa. Peter akiwa na Dodoma Jiji aliyefunga mabao manane anaenda kuungana na Matheo Antony ambaye hakuwa na msimu mzuri kutokana na kuwa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na majeraha. “Ripoti ya mwalimu ilikuwa inatuhitaji tusajili mshambuliaji tuimeanza…

Read More

Waziri Kombos atua Tanzania kwa niaba ya EU

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus, Constantinos Kombos amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu akilenga kufanya mazungumzo muhimu na serikali ya Tanzania kuhusu demokrasia, haki za binadamu, na uchaguzi mkuu ujao wa Oktoba. Kombos anafanya ziara hiyo kwa niaba ya Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Ulaya wa Masuala…

Read More

Kwa Raizin simu zinaita sana

STRAIKA na kinara wa mabao katika Championship msimu uliopita, Raizin Hafidh amesema licha ya kupokea simu nyingi kutoka timu kadhaa kuhitaji huduma yake, lakini bado hajaamua huku akitaja dau ili kunasa saini yake. Nyota huyo mwenye rekodi ya kupandisha timu Ligi Kuu, alikuwa mfungaji bora Championship akitupia mabao 22 katika mashindano yote na kuirejesha Mtibwa…

Read More

Ibenge amtibulia dili beki KMC

BAADA ya Azam FC kumtambulisha aliyekuwa kocha wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge, inaelezwa kuwa dili la beki wa KMC, Raheem Shomari, limekufa baada ya kocha huyo kujiunga na Matajiri wa Chamazi. Nyota huyo aliyeibuka Mchezaji Bora Chipukizi kwa msimu wa 2023-2024, alikuwa katika hatua za mwi-sho kumalizana na Al Hilal ya Sudan,…

Read More

Kihimbwa ajifunga mwaka Mashujaa | Mwanaspoti

TIMU mbalimbali zinaimarisha vikosi kwa kuongeza sura mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, miongoni mwazo ni Mashujaa ambayo tayari imewasainisha baadhi ya wachezaji. Kati ya wachezaji waliomalizana nayo ni winga Salum Kihimbwa aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo. Msimu uliopita alimaliza na mabao manne na asisti tano akiwa na…

Read More

Coastal, Pamba zatua kwa Maseke

TIMU za Coastal Union na Pamba Jiji zimeingia anga za kuhitaji huduma za kipa Wilbol Maseke aliyemaliza mkataba wake na KMC msimu ulioisha akiwa na ‘clean sheet’ tatu alizozipata katika mechi tano alizocheza. Awali Mbeya City ndiyo ilianza kusaka huduma ya kipa huyo, lakini haikufikia naye mwafaka na sasa timu ambayo inamwelekeo mzuri ni Coastal…

Read More

Petroli yapaa, dizeli ikishuka Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza kupanda kwa bei ya petroli kwa Sh29 huku bei ya dizeli imeshuka kwa Sh255 kulinganisha na mwezi uliopita. Zura imetangaza kuwa kuanzia leo, Julai 9, 2025 bei ya petroli itakuwa Sh2,996 kwa lita, ikilinganishwa na bei ya Juni ya Sh2,968. “Ongezeko hilo…

Read More

Jalada la ‘Dk Manguruwe’ latua FCU kukamilisha upelelezi

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa jalada la kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, limepelekwa Kitengo cha Uhalifu wa Kifedha (Financial Crime Unit- FCU) kwa ajili ya kukamilisha upelelezi. Wakili wa Serikali, Winiwa Kasala ameieleza Mahakama hiyo leo…

Read More