Daraja la JP Magufuli kielelezo cha maendeleo

Katika hatua ya kihistoria kwa maendeleo ya miundombinu nchini, serikali ilishakamilisha ujenzi wa Daraja la JP Magufuli maarufu Kigongo–Busisi, ambalo ni refu zaidi kwa nchi za Afrika Mashariki. Daraja hili lina urefu wa zaidi ya kilomita 3.2, upana wa mita 28 na linauwezo wa kubeba tani 180 na magari 1600 kwa mara moja. Serikali inayoongozwa…

Read More

Lucas aliyetikisa ubunifu nembo ya ‘Made in Tanzania’

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikijivunia kuzindua rasmi nembo ya Made in Tanzania kama utambulisho wa bidhaa zinazozalishwa kwa Lucas Haule ni jambo ambalo halitakuja kusauhaulika maishani mwake. Hiyo ni baada ya kijana huyo wa miaka 24 kuibuka kidedea katika shidano na kuandaa nembo hizo ambayo itawekwa katika kila bidhaa inayozalishwa nchini kwa ajili ya…

Read More