Waziri Mkuu ataka majibu jinsi ya kuvutia uwekezaji

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Jukwaa la Nne la Biashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (ACTIF) linapaswa kuja na majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji zinazoyakabili mataifa ya Afrika na yale ya eneo la Karibiani.  Amesema changamoto hizo zinapaswa kujadiliwa kwa uwazi na kutaja bayana vikwazo vyote vinavyosababisha…

Read More

Serikali kuwapima wanaoteuliwa kwa mitihani

Dar es Salaam. Ili kuimarisha utendaji kazi katika sekta ya umma, Serikali imedhamiria kuanzisha mfumo wa upimaji kwa kutumia mitihani ya lazima kwa maofisa walioteuliwa au kupandishwa vyeo vya uongozi. Hatua hiyo mpya ni sehemu ya kuhakikisha watu wenye uwezo na uelewa thabiti wa shughuli za utumishi wa umma ndio wanaokabidhiwa majukumu muhimu ya kuendesha…

Read More

Kibano kwa raia wa kigeni kwenye biashara

Dar es Salaam. Jumuiya ya wafanyabiashara nchini imeonesha uungwaji mkono kwa agizo jipya la Serikali lililochapishwa rasmi, linalowazuia raia wa kigeni kushiriki shughuli za biashara ndogo, wakilitaja kuwa ni hatua muafaka ya kulinda fursa za kiuchumi kwa Watanzania. Kanuni hiyo mpya ya Amri ya Leseni za Biashara (Marufuku ya Shughuli za Biashara kwa Wasio Raia)…

Read More

Shaka atangaza kiama genge la wahalifu Kilosa

Dar es Salaam. Wakati Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka akitangaza kiama kwa kundi la watu alilolitaja ‘genge dogo la wachochezi linalotaka kuvuruga amani kwenye moja ya vijiji vya wilaya hiyo’, imeelezwa kuwa watu sita wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma hizo. Shaka amezungumza na wananchi wa Kijiji cha Masungo ambao hivi karibuni walikuwa…

Read More

MKEKA WA UTEUZI WA AWALI WA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WATAKAOSHIRIKI KATIKA ZOEZI LA KURA ZA MAONI KWA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla akizungumza na wandishi wa habari mapema leo katika ukumbi wa CCM, Dodoma. wakati akitangaza uteuzi wa majina ya wanachama wa CCM watakaopigiwa kura za maoni kwa mujibu wa Kanuni na Kalenda za Chama Cha Mapinduzi. UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI   …

Read More