Tanzania Prisons inaanza na wachezaji hawa

BAADA ya uongozi wa Tanzania Prisons kufanya kikao cha tathimini ya timu hiyo ilichofanya msimu uliomalizika na kipi wakifanye ujao, wameanza mazungumzo ya kuwaongezea mikataba wachezaji wa kikosi chao. Katibu wa timu hiyo, John Matei amesema kwamba katika kikosi hicho kuna wachezaji ambao mikataba yao imeisha na wanahitaji kuendelea nao, hivyo kabla ya kuanza kusaka…

Read More

Ibenge ameanza na hili Azam FC

BAADA ya kukabidhiwa mikoba ya kuinoa Azam FC, Florent Ibenge ameanza rasmi kueleza mikakati na misimamo yake ya kazi kikosini na ameweka wazi nidhamu ndiyo kipaumbele cha kwanza kwa mchezaji kupata namba kikosi cha kwanza. Ibenge, ambaye ni kocha mwenye uzoefu wa soka la Afrika na ametwaa mataji mbalimbali kimataifa akitoka kuipa ubingwa wa ligi…

Read More

Ibenge ameanza na hili Azam FC

BAADA ya kukabidhiwa mikoba ya kuinoa Azam FC, Florent Ibenge ameanza rasmi kueleza mikakati na misimamo yake ya kazi kikosini na ameweka wazi nidhamu ndiyo kipaumbele cha kwanza kwa mchezaji kupata namba kikosi cha kwanza. Ibenge, ambaye ni kocha mwenye uzoefu wa soka la Afrika na ametwaa mataji mbalimbali kimataifa akitoka kuipa ubingwa wa ligi…

Read More

Musa Mbisa hataki tena presha Ligi Kuu

KIPA wa Tanzania Prisons, Musa Mbisa amesema presha waliyokutana nayo msimu ulioisha hivi karibuni, hawatarajii kujirudia msimu ujao, akiiweka mtegoni timu hiyo juu ya hatma yake. Timu hiyo ambayo ilisubiri hadi mchezo wa mwisho wa play off dhidi ya Fountain Gate, imekuwa na matokeo yasiyoridhisha kwa misimu kadhaa kukumbwa na presha ya kukwepa kushuka daraja….

Read More

Siku 22 za Camara Simba SC

ILIKUWA miezi, wiki na sasa ni siku tu, kwani mabosi wa timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu Bara wapo bize kwelikweli wakisuka mitambo kwa ajili ya msimu ujao, huku maandalizi mengine kama kambi yakiwa katika hatua za mwisho mwisho kwenda kujifua. Lakini, wakati hilo likiwa bado katika mazingira ya sintofahamu, kuna mambo mengine yanaendelea chinichini, huku…

Read More

Kocha Simba SC ashusha nondo

KAMA wewe ni shabiki wa Yanga au Simba elewa kwamba hii inakuhusu, kwani imepiga kotekote na kuna mambo ambayo hupaswi kuyakosa. Lakini, nyuma ya yote kuna kile ambacho kimekuwa kikiwaumiza zaidi mashabiki wa Simba kwa misimu minne mfululizo ambayo watani zao, Yanga, wamebeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara na kutembea mitaani vifua mbele. …

Read More

Kwa nini takrima ije sasa?

Vijana wa leo hasa wa mijini hawaufahamu utaratibu tuliokuwa nao zamani, au unaoendelea hadi leo huko vijijini ambako hakujaathirika na umagharibi. Familia zetu zilikuwa pana zikihusisha moja kwa moja ndugu wa baba na ndugu wa mama. Pia familia moja iliweza kuhesabu watoto, wajukuu, vilembwe, vilembwekeze hadi vining’ina. Hivi sasa “singo-maza” anahesabu mtoto mmoja, kwisha. Mtoto…

Read More

Uchaguzi huru na wa haki, msingi wa demokrasia

Uchaguzi ni njia ya msingi ya kidemokrasia inayotumiwa na kundi la watu, jamii au taifa kuchagua viongozi wanaoaminiwa kuwa bora kwa kipindi fulani, kwa mujibu wa katiba au makubaliano ya pamoja, iwe kwa maandishi au kwa kauli. Hata hivyo, kuwa na uchaguzi pekee hakutoshi; uchaguzi lazima uwe huru na wa haki. Wakati mwingine, jamii hukubaliana…

Read More