RC CHALAMILA AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI-DSM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka viongozi wa Dini kuendelea kuliombea Taifa amani na kuhubiri masuala ya amani na utulivu wa Nchi ili kuepuka madhara yatokanayo na uvunjifu wa amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu Akizungumza leo jijini Dar es salaam latika kikao maalum na viongozi wa…

Read More

AICC NA JNICC NDANI YA MAONESHO YA SABASABA

Kituo cha Mikutano cha AICC (Arusha International Conference Centre) kilichopo Arusha na JNICC (Julius Nyerere International Convention Centre) kilichopo Dar es Salaam ni miongoni mwa vituo vikubwa vya mikutano na matukio ya kitaifa na kimataifa hapa nchini Tanzania. Akizungumza katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), Bi Beatha Hyera,…

Read More

Mabanda ya Nanenane Mbeya kujengwa kwa mfumo wa vijiji

Mbeya. Katika kuelekea maonyesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane), Mkoa wa Mbeya umeandaa mikakati mipya ya ujenzi wa mabanda kwa mfumo wa vijiji. Umesema lengo ni kutaka kuboresha ulinzi na kudhibiti usambaaji usio rasmi wa watu uwanjani, tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma. Maonyesho hayo ya kikanda yanatarajiwa kufanyika kwenye Viwanja vya John Mwakangale kuanzia…

Read More

Vodacom yaja na Tv Janja katika Maonesho ya Sabasaba

Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania , Philip Besiimire ( Mwenye tisheti nyeupe), pamoja na Mkurugenzi wa Udhibiti wa Hatari na Utii wa Sheria Agapinus Tax,( wa kwanza kushoto) wakipewa maelekezo kuhusu televisheni janja (smart screen) inayotoa maelekezo kuhusu bidhaa mbalimbali zinazopatikana katika banda la kampuni hiyo lililoko katika viwanja vya sabasaba ambako maonesho ya 49 ya…

Read More

Majaliwa: TRA kusanyeni mapato kwa wageni

Arusha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza usimamizi wa ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara, ikiwemo wa mataifa ya nje waliojuja kufanya shughuli zao nchini. Amesema TRA inapaswa kuongeza ufanisi zaidi kwenye kuwasimamia wafanyabiashara wote, kuhakikisha wanatambua sheria za ulipaji kodi pamoja na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara ili kuhakiki…

Read More