TANZANIA KOREA KUFANYA MRADI WA UPANUZI WA MFUMO WA GOTHOMIS

lNa Angela Msimbira, Seoul, Korea  Serikali ya Korea Kusini kupitia shirika la KOICA imeandaa Mkutano wa Kimataifa kubadilishana uzoefu kwenye kuboresha mifumo ya usimamizi wa huduma za afya kwa kutumia teknolojia ya kisasa.  Mkutano huu umehusisha watalaam kutoka Tanzania na Korea ikiwa ni sehemu ya ushirikiano wa Mradi wa Kupanua matumizi ya Mfumo wa GOTHOMIS…

Read More

DIRA 2050 YA TANZANIA TUITAKAYO IMEKAMILIKA,RAIS SAMIA KUIZINDUA JULAI 17

*Dk.Samia aingia katika historia ya kuandika dira isiiyokuwa na muelekeo wa Itikadi ya Chama *Profesa Mkumbo ataja hatua kwa hatua jinsi mchakato ulivyofanyika hadi sasa Na Said Mwishehe,Michuzi TV. WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais ,Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amesema Rais Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050  ambayo itajulikana…

Read More

RAIS SAMIA AWAPA STAMICO LESENI KUBWA YA UCHIMBAJI MADINI YA NIKELI KATIKA ENEO LA NTAKA NACHINGWEA-LINDI

▪️Ni hatua ya kuiimarisha STAMICO kiuchumi ▪️Aelekeza Wachimbaji wadogo kupewa leseni za  uchimbaji na kurasimishwa ▪️Waziri Mavunde awataka STAMICO kuanza uchimbaji ndani ya miezi 18 ▪️Wachimbaji wadogo wamshukuru Rais Samia kwa kuwajali Nachingwea,Lindi Waziri wa Madini, Mh. Anthony Mavunde (Mb) amebainisha kuwa Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameelekeza…

Read More

WASIRA ATAKA UWEKEZAJI UTAZAME MAKUNDI YOTE

-Ashauri wawekezaji wadogo, wakati na wakubwa wote watazamwe sawa -Asisitiza sekta ya kilimo kupewa kipaumbele kwa kinaajiri wananchi wengi MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameishauri serikali kupitia Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) kuwa karibu na wa wawekezaji wote wakiwemo wakubwa, wa kati na wa…

Read More

DIRA 2050 INA KINGA YA BUNGE-PROF MKUMBO

Na Mwandishi wetu  SERIKALI imewatoa hofu Watanzania kuhusu hoja ya kuwa utekelezaji Dira 2050 unaweza kukumbwa na changamoto ya uhalali wa kisheria na hivyo mpango huo muhimu kwa taifa ukawa na ombwe la kiufanisi hapo baadae  Akiongea katika kikao maalum na Wahariri kutoka jukwaa la Wahariri Tanzania TEF Waziri wa nchi ofisi ya Rais Mipango…

Read More

BDL ilihamia Taifa Cup | Mwanaspoti

Ushindani wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ulihamia katika fainali ya mashindano ya Kombe la Taifa kati ya Dar es Salaam na Mara, ambapo ulitokana na ubora wachezaji wa timu zote mbili kutokana na jinsi walivyozoeana wakutanapo kwenye BDL. Mara iliwakilishwa na mastaa kama Baraka Sabibi, Mussa Chacha wanaokipiga JKT ilhali…

Read More

Jesca avunja rekodi ufungaji | Mwanaspoti

Mchezaji wa JKT Stars na timu ya wanawake ya Mkoa wa Dar es Salaam, Jesca Ngisaise amevunja rekodi ya kufunga pointi nyingi peke yake, ambapo alivuka kiwango kilichozoweleka cha pointi zisizozidi 50 kwa mchezo ambacho mastaa wengi hufikia. Hata hivyo, katika mashindano Taifa alifunga pointi 90 peke yake kati ya 172-58 walizoifunga Dodoma, huku mchezo…

Read More

Simba ni Misri au Uturuki

MABOSI wa Simba SC kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo wameanza mikakati ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26, ambapo imefahamika kuwa kambi imependekezwa tena kufanyika nje ya nchi ni ama Misri au Uturuki. Uamuzi huo umetokana na mapendekezo ya benchi la ufundi likiongozwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids ambaye inaelezwa amesisitiza…

Read More