
NELSON MANDELA KAMBI YA KITAIFA KWA WANAFUNZI WA PROGRAMU YA SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP DSA+
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kituo cha Tehama Rasimali (ICT-RC) katika Taasisi ya NM-AIST Dr. Devotha Nyambo wakati wa ufunguzi wa programu ya Samia Extended Scholarship DS/AI+ Julai 8,2025 jijini Arusha. …… Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amezindua rasmi programu…