Watatu waiangusha Twiga Stars Wafcon

KICHAPO cha bao 1-0 ilichopokea Twiga Stars kwenye mchezo wa kwanza wa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika Wanawake (WAFCON) inayoendelea nchini Morocco, imechangiwa na kukosekana kwa nyota watatu wa eneo la ushambuliaji. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Bakari Shime, kuwakosa Aisha Masaka, Clara Luvanga na Opa Clement, limekuwa pigo kubwa na…

Read More

Namungo FC yamrejesha Kikoti | Mwanaspoti

MABOSI wa Namungo wameamua kumrejesha nyumbani kiungo mnyumbulifu, Lucas Kikoti ambaye msimu uliopita alikuwa akicheza Coastal Union. Kikoti alijiunga na Coastal Union msimu wa 2023/24 akitokea Namungo na kudumu hadi 2024/25. Mwanaspoti linafahamu mchezaji huyo amejiunga na Namungo kwa mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake Ruangwa mkoani Lindi kwa kuanzia…

Read More

Wanafunzi walioduwaza wakongwe kikapu taifa

KAMA una malengo ya kufanya vizuri katika mashindano cha kwanza unatakiwa ufanye maandalizi ya kutosha na uwe na  wachezaji wenye uwezo mkubwa. Hicho ndicho ilichofanya timu ya kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (Dream Team) wanaume na ile ya wanawake ya Mkoa wa Arusha katika mashindano ya Kombe la Taifa yaliyomalizika mjini Dodoma. Katika…

Read More

Chama la Wana lina dakika 90 Tanzanite Kwaraa

Stand United ‘Chama la Wana’, ina dakika 90 ngumu za kupindua meza, itakapokuwa ugenini leo Jumanne katika mechi ya marudiano ya ‘Play-Off’ kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao dhidi ya Fountain Gate. Mechi hiyo itakayopigwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, mjini Babati, mkoani Manyara, ni ya marudiano baada ya ile ya kwanza iliyopigwa CCM Kambarage mjini…

Read More

Simba yavamia dili la Ecua Yanga

HUENDA hii isiwe taarifa nzuri kwa mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wakianza kuchekelea chinichini baada ya kuwahabarisha juu ya dili la straika wa ASEC Mimosas na MVP wa Ligi Kuu ya Ivory Coast (Ligue 1), Celestin Ecua lililobaki hatua chache kabla ya kutua Jangwani. Ndio, Yanga inadaiwa kuwa ipo hatua nzuri ya kumnasa Ecua aliyehusika…

Read More