Gamondi aanza na kipa wa Simba

Singida Black Stars iliyopo chini ya Kocha Miguel Gamond, imedaiwa iko katika mazungumzo ya kuipata saini ya kipa wa Simba, Hussein Abel baada ya nyota huyo kumaliza mkataba alionao na kikosi hicho, huku kukiwa pia hakuna mazungumzo mapya ya kubakizwa msimu ujao. Kipa huyo wa zamani wa Coastal Union, Taifa Jang’ombe ya Zanzibar, Tanzania Prisons…

Read More

TUME YA USHINDANI (FCC), KUTUMIA FURSA YA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (SABASABA) KWA KUTOA ELIMU KWA UMMA

  Bi. Roberta Feruzi, Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano kwa Umma akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la (FCC) kuhusu kununua bidhaa sahihi na kuepuka kurubuniwa na matangazo na vifungashio vinavyopotosha katika viwanja vya Saba Saba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Wananchi mbalimbali wakipata maelezo kutoka kwa Scolastica Afisa Uhusiano wa…

Read More

Kennedy Musonda atua Israel | Mwanaspoti

SIKU moja baada ya kuwaaga mashabiki wa Yanga baada ya kumaliza mkataba, mshambuliaji Kennedy Musonda amejiunga na Hapoel Ramat Gan inayoshiriki Ligi Daraja la Pili  Israel maarufu kama Liga Leumit. Jana, Musonda aliwaaga Wananchi ambao amewatumikia kwa miaka miwili na nusu na kuwafungia mabao 34, akitoa asisti 13 ambapo ametwaa mataji matatu ya ligi na…

Read More

TRA YAZIDI KUIHAMASISHA JAMII KUHUSU UMUHIMU WA TEKNOLOJIA KATIKA KULINDA WALAJI NA KUIMARISHA ULIPAJI WA KODI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya SICPA Tanzania, inaendelea kuelimisha umma kuhusu nafasi ya teknolojia katika kulinda walaji, kuimarisha ulipaji wa kodi, na kulinda uchumi wa Taifa. Hii ni sehemu ya jitihada za TRA za kuendeleza uwazi, uwajibikaji, na uchumi shirikishi unaowanufaisha wananchi wote. Katika soko la leo linalobadilika kwa kasi,…

Read More

Serikali yachunguza waziri aliyejipiga risasi Urusi

Serikali ya Urusi imeanza uchunguzi kutokana na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi wa Urusi, Roman Starovoit  ambaye amekutwa amefariki dunia karibu na gari lake katika eneo la Moscow saa chache baada ya Rais Vladimir Putin kumfuta kazi jana. Taarifa iliyoripotiwa na Al Jazeera leo Julai 8, 2025, imeeleza kuwa waziri huyo wa aliyepita ambaye…

Read More

TCB YAHAMASISHA VIJANA KUVUNA FURSA KWENYE SEKTA YA KAHAWA

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MKURUGENZI wa Masoko kutoka Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), Frank Nyarusi, amesema kuwa zao la kahawa ni miongoni mwa mazao ya kimkakati yanayochangia kwa kiasi kikubwa katika kukuza pato la taifa, na kutoa wito kwa Watanzania—hasa vijana—kuchangamkia fursa lukuki zilizopo katika sekta hiyo. Akizungumza kwenye Maonesho ya 49 ya Biashara…

Read More