WANANCHI WANAOTEMBELEA MAONESHO SABASABA WASHUHUDIA VIVUTIO VYA UTALII NGORONGORO MBASHARA ( LIVE STREAMING)

Na Hamis Dambaya, DSM. Matangazo ya moja kwa moja kutokea hifadhi ya Ngorongoro yanayorushwa katika Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii ndani ya viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam yamekuwa kivutio kikubwa kwa watembeleaji wa maonesho hayo. Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Maliasili na Utalii akiwemo Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Mh.Dunstan…

Read More

ANAYEDHARAU VYOMBO VYA HABARI NI WA KUMPUUZA TU-PROF.KITILA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV. WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amesema mtu yeyote anayedharua vyombo vya habari huyo ni ‘Mtu kumpuuza.’ Profesa Mkumbo ameyasema hayo leo Julai 8,2025 jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na Wahariri na waandishi wa habari akiwasilisha taarifa ya Dira 2050 inayotarajiwa kuzinduliwa Julai 17 mwaka…

Read More

Kamishna Silayo: Misitu Ni Mkombozi wa Uchumi na Mazingira, Wananchi Watumie Fursa Zilizopo

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo, amewahimiza Watanzania kutumia kikamilifu fursa zinazopatikana katika sekta ya misitu ili kukuza uchumi, kulinda mazingira na kupambana na mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana Julai 7, 2025, katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara…

Read More

TMDA YATOA ELIMU KWA UMMA MAONESHO YA SABASABA

  Meneja wa Uhusiano na Eliminate kwa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Gaudensia Simwanza akielekeza Jambo kwa wananchi mbalimbali waliotembelea katika banda la Mamlaka hiyo kwenye maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye viwanja vya Saba Saba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.  Meneja wa Uhusiano na Eliminate kwa…

Read More

RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA TANESCO SABASABA.

-Mkurugenzi Mtendaji Twange amkabidhi Jiko Janja -Ni katika kuhamasisha Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Mwinyi leo tarehe 07 Julai, 2025 ametembelea Banda la Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam…

Read More

PROFESA MKUMBO:ILANI ZA VYAMA VYA SIASA VIZINGATIE DIRA 2050

Na Said Mwishehe,Michuzi TV WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo ametoa rai kwa vyama vya siasa nchini kuzingatia Dira 2050 wanapotoa Ilani zao. Akizungumza leo Julai 8,2025 jijini Dar es Salaam mbele ya wahariri na waandishi wa habari ,Profesa Mkumbo amesema kuwa mchakato wa Dira 2050 imehusisha watanzania wa makundi mbalimbali…

Read More

Elimu itolewe kuhusu sheria, kanuni soka la Wanawake

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na taasisi zingine limetakiwa kutoa elimu kwa wadau kuhusu haki za wachezaji wa kike wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua. Sheria ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) linatoa haki hizo lakini uchunguzi uliofanywa na Mwanaspoti umebaini haifahamiki kwa wachezaji wengi, makocha na hata uongozi wa vilabu….

Read More