Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 18
Habari

MWANAFUNZI UDOM AIBUKA MSHINDI KWA KUBUNI NEMBO YA MADE IN TANZANIA

July 8, 2025 Admin

Mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Awali ya  Sayansi  katika Mifumo ya Habari za Afya ( HIS) kutoka  Shule Kuu ya Uuguzi na

Read More
Habari

Wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa ya sera ya uwekezaji nchini

July 8, 2025 Admin

Pamela Mollel,Arusha. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ndugu Ismail Ally Ussi, amezitaka sekta binafsi nchini kutumia vema fursa ya uboreshaji wa

Read More
Habari

Mabanda ya Nanenane Mbeya kujengwa kwa mfumo wa vijiji

July 8, 2025 Admin

Mbeya. Katika kuelekea maonyesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane), Mkoa wa Mbeya umeandaa mikakati mipya ya ujenzi wa mabanda kwa mfumo wa vijiji. Umesema lengo

Read More
Habari

Vodacom yaja na Tv Janja katika Maonesho ya Sabasaba

July 8, 2025 Admin

Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania , Philip Besiimire ( Mwenye tisheti nyeupe), pamoja na Mkurugenzi wa Udhibiti wa Hatari na Utii wa Sheria Agapinus Tax,( wa

Read More
Habari

Majaliwa: TRA kusanyeni mapato kwa wageni

July 8, 2025 Admin

Arusha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza usimamizi wa ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara, ikiwemo wa mataifa ya nje waliojuja

Read More
Habari

Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake, anaswa akitaka kunywa sumu

July 8, 2025 Admin

Kibaha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Isaya Kastam mkazi wa Kwa Mfipa Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake, Faraja Chafu. Akizungumza

Read More
Habari

Watu 10 wauawa maandamano ya Sabasaba Kenya, shughuli zasimama

July 8, 2025 Admin

Nairobi. Watu 10 wameuawa na wengine 29 wakijeruhiwa katika maeneo mbalimbali Kenya wakati taifa hilo likiadhimisha miaka 35 ya Siku ya Sabasaba. Maandamano hayo yaliyofanyika

Read More
Habari

Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake, anaswa akitaka kunywa sumu.

July 8, 2025 Admin

Kibaha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Isaya Kastam mkazi wa Kwa Mfipa Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake, Faraja Chafu. Akizungumza

Read More
Habari

Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya

July 8, 2025 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki Kongamano kuhusu Kukuza Huduma za Afya Ulimwenguni kupitia Diplomasia

Read More
Habari

Serikali kutoa ufadhili wahitimu 50 waliofaulu vizuri kidato cha sita

July 8, 2025 Admin

Arusha. Vijana 700 waliofaulu kwa kiwango cha juu katika masomo ya sayansi kwenye matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana watanufaika na ufadhili wa masomo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 17 18 19 … 79 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.