Viongozi Simba, Yanga wawekwa kando uteuzi CCM

Rais wa Yanga, Hersi Said pamoja na mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu ni kati ya watia nia ambao wamewekwa kando kugombea nafasi ya ubunge. Mangungu alikuwa ameomba kugombea kupitia Jimbo la Kilwa, huku Hersi akiomba kupitia jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam. Wakati hawa wakiwekwa kando Makamu wa Rais wa zamani wa Shirikisho la…

Read More

Haya hapa majina waliopenya uteuzi CCM

Dar es Salaam. Baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika jana Jumatatu Julai 28, 2025, makao makuu ya chama hicho jijini Dodoma, hatimaye majima ya waliopenya yamewekwa hadharani. >>Haya hapa majina waliopenya ubunge Katika orodha hiyo yapo majina yaliyoachwa na wamo walioingia wapya na ambao walikuwa nje…

Read More

WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM WAKOSHWA NA MIUNDOMBINU YA BOOST

Wanafunzi katika Shule ya Msingi Azimio iliyopo Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe, wamefurahia ujenzi wa miundombinu bora na jumuishi inayotoa fursa ya elimu kwa wanafunzi wenye mahitaji Maalum. Hawa Njovi, mwanafunzi mwenye ulemavu wa viungo mwenye malengo ya kuwa daktari wa watoto, amesema miundombinu rafiki inahamasisha ujifunzaji hivyo amewashauri watoto wasikate tamaa. Brian…

Read More

Baba Levo apenya mchujo Kamati Kuu CCM Kigoma

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chiponda ‘Babalevo’ ni miongoni mwa watiania sita waliopenya katika chujio la Kamati Kuu ya chama hicho, sasa anasubiri kura za maoni kutoka kwa wajumbe agombee ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini. Sambamba naye, wengine waliopenya ni Baruani Muhuza, Kirumbe Ng’enda, Ahmad Sovu, Maulid Kikondo na…

Read More

Dakika 15 Nyongeza zilivyoamua mbabe BDL

Wakati BDL ikishika kasi mchezo kati ya KIUT na Chui ulilazimika kurudiwa mara tatu baada ya awali kufungana pointi 57-57 katika robo zote nne za mchezo. Hali ya sare iliendelea pia hata zilipoongezwa dakika tano za nyongeza kwani timu hizo zilifungana 11-11, na kuongezwa dakika tano zingine na kushuhudia sare ya 10-10. Kutokana na hali…

Read More

Bashungwa kuchuana na wengine watano Karagwe

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametangaza majina ya walioteuliwa kwenda kura za maoni kupitia majimbo ya Kagera huku Innocent Bashungwa akiwa miongoni mwa waliopendekezwa kupitia jimbo la Karagwe. Bashungwa atachuana na wengine watano ambao ni Princepilus Rwazo, Adolf Rwantungamo, Devotha Alexander, Comfort Blandes na…

Read More