Tunahitaji maktaba za jamii kila wilaya

Arusha. Ikiwa jirani yako ana jambo fulani ambalo wewe huna, na ikiwa kwamba jambo hilo ni zuri, si dhambi, tena ni busara, ukajifunza kutokana na hilo. Ukijifunza, bila shaka utaweka mikakati ya kulifanya jambo hilo nyumbani kwako. Nasema hivi kwa sababu katika makala haya napenda kujadili hoja kwamba kama taifa tuweke nguvu za makusudi ili…

Read More

Tabasamu kwa mabinti wenye ndoto kuwa wanasayansi

Rozalia Peter kutoka Lindi, alikuwa na ndoto ya kuwa mhandisi wa mitambo tangu akiwa bado mdogo. Alikuwa mwanafunzi mahiri, akichukua mchepuo wa fizikia, kemia na hisabati katika Shule ya Sekondari ya Lucas Maria Mkonai kwa matarajio ya kujiunga na chuo kikuu. Lakini ndoto hiyo ilianza kufifia mara tu alipokosa alama za kutosha katika mtihani wa…

Read More

Nani wa kuwasemea wahadhiri wa vyuo vikuu nchini?

“Leo niko chuoni kwako, niko ukumbi wa maktaba mpya, naomba nije kukutembelea ofisini kwako”. Ilikuwa sauti ya rafiki yangu nilipoongea naye kwa simu. Hakuwahi kusoma Tanzania kwa sababu baba yake alikuwa mfanyakazi wa balozi mbalimbali nje ya Tanzania. Hana taswira halisi ya vyuo vya hapa nchini. Nilinyong’onyea kwa taarifa ya ugeni ule ofisini kwangu. Siyo…

Read More

ACT-Wazalendo yajizatiti kupigania Liganga-Mchuchuma | Mwananchi

Songea. Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kitaendelea kuuvalia njuga suala la Liganga na Mchuchuma ambao ni mradi wa kimkakati unaolenga kukuza uchumi wa viwanda kwa kuanzisha sekta za msingi zitakazosaidia sekta nyingine katika mnyororo wa thamani. Kimesisitiza hakitachoka kuupigania  mradi huo uanze kwa sababu una faida na manufaa yatakayowanufaisha wananchi wa Ruvuma, Njombe wanufaike na…

Read More

Miriam Odemba Awaalika Watanzania Kuchangia Ujenzi wa Vyoo kwa Ajili ya Wanafunzi

Mkurugenzi wa Taasisi ya Miriam Odemba Foundation (MOF) ambaye pia ni mwanamitindo nguli wa kimataifa, Miriam Odemba amesisitiza Watanzania kuchangia fedha kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa vyoo na baadhi ya miundombinu katika Shule ya Misingi Mwendapole iliyopo Kibaha mkoani Pwani. Hatua hiyo ni juhudi za taasisi hiyo katika kuiunga mkono serikali kuhakikisha wanafunzi wanapata…

Read More

‘Ushirikiano ni uvumbuzi mkubwa wa ubinadamu,’ UN Chief inatangaza katika Mkutano wa BRICS – Maswala ya Ulimwenguni

Akiongea katika Mkutano wa 17 wa BRICS huko Rio de Janeiro, Brazil, alisisitiza athari za kibinadamu za uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya hali ya hewa. Na kadri misiba ya mazingira inavyoongezeka, malengo endelevu ya maendeleo pia yanaachwa. “Ulimwenguni kote, maisha na maisha yanavutwa, na faida endelevu za maendeleo zilizobaki katika tatoo wakati majanga yanaharakisha,”…

Read More

UN inaonya juu ya shida mbaya ya kibinadamu huko Sudan kama uhamishaji, njaa na magonjwa kuongezeka – maswala ya ulimwengu

Hali hiyo ni mbaya sana huko El Fasher, mji mkuu wa Mkoa wa Kaskazini mwa Darfur, ambao umeshuhudia sehemu mbaya zaidi za mzozo unaoendelea kati ya wanamgambo wa wapinzani. Wale waliobaki katika El Fasher wanakabiliwa na “uhaba mkubwa” wa chakula na maji safi, na masoko yakisumbuliwa mara kwa mara, msemaji wa UN Stéphane Dujarric aliwaambia…

Read More