LUHEMEJA AWATAKA WATANZANIA KUTOA UZITO NA MSISITIZO UHIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA

………….. WATANZANIA wamehimizwa kulipa uzito na msisitizo suala la uhifadhi na usimamizi wa mazingira nchini kwani ni agenda muhimu ya kimaendeleo kwa binadamu. Hayo yamesemwa leo Jumapili (Julai 6, 2025) Jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja wakati akizindua Siku ya Mazingira iliyoadhimishwa katika Maonesho ya 49…

Read More

BALOZI HAMAD AKUTANA NA RAIS WA BUNGE LA MSUMBIJI

   Mhe. Balozi Hamad Khamis Hamad amekutana na Mhe. Margarida Adamugu Talapa, Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji kwenye Ofisi za Bunge hilo Leo Jijini Maputo   Julai 07, 2025; Wakati wa mkutano huo, Mhe. Talapa alimpongeza Mhe. Balozi Hamad kwa kuteuliwa kuiwakilisha Tanzania nchini Msumbiji na kumhakikishia kila aina ya ushirikiano katika kutekeleza…

Read More

MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI YAFANYIKA OSAKA JAPAN

Matukio mbalimbali katika picha wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Kiswahili duniani, tarehe 7, Julai, 2025. Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika eneo la Yumeshima; jijini Osaka, nchini Japan, yamekuwa sehemu ya maonesho ya biashara ya dunia (Expo 2025, Japan) yanaondelea nchini Japan. Ikumbukwe kuwa maadhimisho ya siku ya Kiswahili kikanda (Afrika Mashariki) yanafanyika nchini…

Read More

Musonda aaga rasmi mashabiki Yanga

SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa mshambuliani, Kennedy Musonda hatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kwa msimu ujao wa 2025/26 mwenyewe ameibuka na kuwaaga mashabiki na wanachama wa timu hiyo. Musonda ameitumikia Yanga kwa misimu miwili na nusu akitwaa mataji matatu ya Ligi na Kombe la Shirikisho pamoja Ngao ya Jamii mara mbili. Kupitia…

Read More

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Tuache mzaha, hiki si kizazi cha kupewa ahadi hewa majukwaani

Tumebakiza siku 110 kama uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 26,2025, lakini tunashuhudia baadhi viongozi wa vyama vya upinzani na watia nia, wakitoa ahadi zisizotekelezeka hadi unajiuliza wanawachukuliaje Watanzania wa kizazi cha sasa. Niwatahadharishe tu, baadhi ya ahadi zinazotolewa na makada wenu, iwe majukwaani au kupitia vyombo vya habari zinawashushia hadhi na heshima mbele ya wapigakura, na…

Read More

Zaidi ya Sh1.14 bilioni kutumika maandalizi ya kuupanga Mji wa Kahama kidijitali

Shinyanga. Zaidi ya Sh1.14 bilioni zinatarajiwa kutumika katika maandalizi ya Mpango Kabambe wa Kidijitali (Master Plan) wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga. Mpango huo unalenga kudhibiti ujenzi na makazi holela ambayo yamekuwa chanzo kikuu cha maafa, ikiwemo mafuriko yanayotokea wakati wa mvua. Manispaa ya Kahama ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na changamoto kubwa…

Read More

Mkuu wa UN ‘alihuzunika sana’ kwa kuharibiwa mafuriko ya Texas kama ushuru unapita 80 – maswala ya ulimwengu

Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu na msemaji wake, António Guterres alisema alikuwa “Inasikitishwa sana na upotezaji mbaya wa maisha, haswa ya idadi kubwa ya watoto,“Wakati wa kile ambacho kilipaswa kuwa wakati wa sherehe. Ijumaa, 4 Julai, alama ya Siku ya Uhuru huko Merika – wakati ambao familia na jamii zinakusanyika kwa sherehe za nje. Katibu Mkuu…

Read More

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA USHAURI KATIKA MIKATABA KWA TAASISI ZA UMMA

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaendelea kuboresha Ushauri kwa Taasisi za Umma wakati wa kuingia mikataba mbalimbali ili kuwa na Mikataba iliyobora na kutimiza malengo ya Serikali ya kuwa na mikataba inayotekelezwa vizuri na kuwanufaisha Wananchi. Hayo yamesemwa na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno tarehe 7 Julai, 2025 katika Maonesho…

Read More