Baraza latambua ‘massage’ kama tiba asili

Morogoro. Kwa mujibu wa Sheria namba 23 ya mwaka 2002 ya Tiba za Asili na Tiba Mbadala, huduma za ukandaji na uchuaji misuli zinatambuliwa kama sehemu ya tiba za asili, na maeneo yanayotoa huduma hizo yanahesabiwa kuwa vituo vya tiba asili. Vilevile, wataalamu wa huduma hizo wanatambulika kama sehemu ya waganga wa tiba asili. Hayo…

Read More

Maduka matano yateketea kwa moto Tabora

Tabora. Moto mkubwa umezuka usiku wa manane na kuteketeza maduka matano yaliyokuwa na bidhaa mbalimbali zikiwemo nguo, vifaa vya saluni na chakula, katika eneo la Salmini, Kata ya Chemchem, Manispaa ya Tabora. Shuhuda wa tukio hilo, Saidi Ali, ambaye ni dereva wa bodaboda, amesema kuwa wakati akiendelea na shughuli zake saa nane usiku, alipita katika…

Read More

Hofu yatanda kwa watia nia CCM

Dar es Salaam. Kuchukua na kurudisha fomu ni jambo moja, lakini kupenya katika mchujo na kuwa kati ya watatu watakaopigiwa kura za maoni na wajumbe, ni jambo lingine. Hilo ndilo linalowaweka matumbo joto maelfu ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), waliochukua fomu kuomba ridhaa ya chama hicho kuwania nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi…

Read More

Kufuru, huu hapa mshahara wa Ibenge Azam

MAMBO ni bambam kwa Wanalambalamba Azam FC baada ya kumalizana na aliyekuwa kocha mkuu wa Al Hilal Omdruman ya Sudan, Florent Ibenge, inayokipiga katika Ligi Kuu Mauritania kwa sasa, kwani ameshatia maguu Chamazi, Dar es Salaam. Lakini, kama unataka kujua nini amedhamiria kukifanya kocha huyo ndani ya chama hilo, endelea kusikilizia kwa sasa, ingawa amegusia…

Read More

Kiungo Mtanzania autamani ubingwa England

KIUNGO mwenye asili ya Tanzania, Tarryn Allarakhia anayekipiga katika klabu ya Rochdale AFC ya England, amesema msimu huu wanaingia kwa nguvu mpya kuhakikisha wanatwaa ubingwa wa ligi hiyo baada ya kuukosa msimu uliopita. Allarakhia, ambaye aliwahi kuitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kilichocheza mechi za kirafiki dhidi ya Sudan Mei…

Read More

Dodoma Jiji yashtukia janja ya Azam FC

BAADA ya Azam FC kumpigia hesabu za kumrejesha aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Idd Kipagwile, mabosi wa Dodoma Jiji wameshtukia dili hilo mapema na kuamua kumwongezea mkataba wa miaka miwili baada ya huu wa sasa kumalizika. Nyota huyo wa zamani wa Polisi Tanzania, KMC FC na Namungo FC, ameonyesha kiwango kizuri msimu huu na…

Read More