Ufaulu kidato cha sita wapanda

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita huku  ufaulu wa jumla ukiwa asilimia 99.95 kwa watahiniwa 126,135 waliofanya mtihani,  sawa na ongezeko la asilimia 0.03 ikilinganishwa na ufaulu wa mwaka 2024 ambao ulikuwa asilimia 99.92. Akitangaza matokeo hayo leo Julai 7, 2025 katika ofisi za Necta Zanzibar, Katibu Mtendaji…

Read More

Dk Mwinyi awapa neno vijana matumizi ya lugha za kigeni  

Unguja. Kutokana na utandawazi kuchukua nafasi kubwa katika maisha, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein  Mwinyi amewataka vijana na jamii kuacha kutumia lugha za kigeni katika mazingira yasiyostahili, badala yake waitumie lugha ya Kiswahili kwani ndio msingi wa umoja, amani na mshikamano. Hayo ameyasema leo Julai 7, 2025 katika hotuba yake iliyosomwa na Makamu wa Pili…

Read More

Haya hapa matokeo ya kidato cha sita 2025

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai 7, 2025 visiwani Zanzibar na Katibu Mtendaji wa Necta, Profesa Said Mohamed Bonyeza hapa kutazama matokeo ya kidato cha sita 2025 …

Read More

ACT Wazalendo yamjibu Rais Samia kuhusu amani, utulivu

Shinyanga/Mbeya. Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema ili kupatikane amani na utulivu nchini, Serikali haina budi kuzingatia utendaji haki kwa makundi mbalimbali ya wananchi. Kauli ya Dorothy inajibu kilichoelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa hema la Kanisa la Arise and Shine, aliposisitiza kuendelea kuwepo kwa amani na utulivu…

Read More

Wazazi mjitafakari maadili ya watoto

Dar es Salaam. Katika hali ya sasa, ni wazi kuwa wazazi wengi wamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto wao. Nasema hivi kwa sababu ingawa binadamu tunaendelea kuzaa na kuongeza kizazi, lengo si tu kuujaza ulimwengu bali kuhakikisha tunarithisha maadili mema kwa watoto wetu. Vitabu vitakatifu vimekuwa vikikazia wajibu huu muhimu wa wazazi ni…

Read More

Usiruhusu mafanikio yavunje ndoa | Mwananchi

Canada. Kuna kisa cha mama mmoja aliyeukwaa uheshimiwa.  Tulipata kisa hiki kwenye pitapita zetu kwenye taarifa za mitandaoni na kuthibitisha kuwa ilikuwa ni stori ya kweli. Tulidurusu na kujua hata jimbo analotoka katika mkoa mmoja wa Kanda ya Ziwa. Huyu mama, kwa kusaidiwa na mumewe, alitumia rasilimali za familia kuukwaa uheshimiwa ambao, hata hivyo, uliishiwa…

Read More

Wazazi hawa hatari  malezi kwa watoto

Watoto huzaliwa wakiwa hawana maarifa, mitazamo wala tabia maalum. Wanapojifunza, huiga zaidi wanachokiona na kusikia kutoka kwa watu walioko karibu nao, hasa wazazi wao.  Wazazi ndio walimu wa kwanza wa mtoto, na maisha ya mtoto huundwa kwa kiasi kikubwa na mazingira wanayomlea.  Kwa msingi huu, ni sahihi kusema kuwa wazazi wana mchango mkubwa sana katika…

Read More

Huu hapa mbadala wa matumizi ya nguvu katika malezi

Dodoma. Utafiti uliofanyika miaka ya 1970 na mshunuzi nguli, Mary Ainsworth ulionesha kuwa msingi mkubwa wa changamoto nyingi za kitabia kwa watoto,  ni kilio cha kukosa upendo, ambao ni hitaji kuu la kila mwanadamu.Kupendwa, ni ile hali ya mtoto kujisikia kukubalika, kuonekana, kuthaminika na kueleweka na mzazi wake. Kimsingi, hata mjadala wa ‘tuchape au tusichape’…

Read More