Unawajua  wake ngumi mkononi au ndoo ya taka?

Mara nyingi kwenye ndoa kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wanaume, na malalamiko haya yanaelekezwa kwenye namna wake zao wanavyoishi au wanavyofanya. Huyu analalamika mke wangu yuko hivi, na yule naye anasema mke wangu yuko vile. Mmoja anasema mke wangu anafanya hivi na mwingine analia mke wangu hafanyi vile. Huu mkanganyiko umekuwa…

Read More

Bomu la nyaya katika majengo

Dar es Salaam. Mbali ya Kariakoo kuwa eneo lenye msongamano wa watu na vyombo vya moto kutokana na biashara zinazofanyika, kuna utandazaji holela wa nyaya zikiwamo za umeme, hali inayotishia usalama. Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika mitaa ya Kariakoo ikiwamo ya Nyamwezi, Mchikichi, Muhonda, Congo, Magila na Narung’ombe umebaini uwepo wa nyaya hizo ambazo si…

Read More

Sababu wanandoa kushindwa ‘kutoboa’ kiuchumi

Dar es Salaam. Kuunganisha mapato ya wanandoa ni hatua ya kiuchumi inayolenga kufanikisha usimamizi wa pamoja wa rasilimali kwa ajili ya maendeleo ya familia. Ingawa lengo kuu ni kuongeza ufanisi wa matumizi, kuweka mipango ya kifedha ya muda mrefu, na kukuza mshikamano wa kifamilia, utekelezaji wake unakumbwa na changamoto nyingi, hasa katika jamii ambazo bado…

Read More

Undani soko la nyama choma la Kumbilamoto Dar

Dar es Salaam. Je, umewahi kusikia kuhusu soko la nyama choma la Kumbilamoto? Mie nimesikia habari zake kwa watu kadhaa, nikaweka mpango wa kuandaa mtoko wa kwenda kula nyama choma, mwishoni mwa wiki. Jana Jumapili Julai 6, 2025 siku ya mapumziko, natoka ‘home’ kwenda kula nyama choma-Vingunguti. Ndio, Vingunguti. Machinjioni. Nyama za kila aina zinapatikana,…

Read More

Sababu Profesa Manya, Waziri Tax kutochukua fomu za ubunge CCM

Shinyanga. Kurudi Chuo Kikuu kushika chaki na kubaki kuwa mwanachama mtiifu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ndiyo mipango waliyonayo wabunge wawili wa kuteuliwa, Profesa Shukurani Manya na Dk Stergomena Tax, ambao hawakuonekana kuchukua fomu za kuwania ubunge kama ilivyo kwa wengine. Wawili hao, waliingia bungeni bila historia za kisiasa, Profesa Manya akitoka kuiongoza Tume ya…

Read More

Inawezekana kuwa wenza bila mapenzi ya mwili

Katika jamii nyingi, upendo umezoeleka kuhusishwa moja kwa moja na uhusiano wa kimapenzi. Filamu, nyimbo, vitabu na mitandao ya kijamii huonyesha mapenzi ya wapenzi kama kilele cha mafanikio ya kihisia. Lakini miongoni mwa vijana wa kizazi cha sasa, upo mtazamo mpya unaochipuka — upendo wa ‘kiplatoniki’, yaani, ule wa kirafiki wa kina usiohusisha uhusiano wa…

Read More

NMB yabeba huduma za benki hadi kwa mteja popote alipo

Benki ya NMB imesema itaendelea kuwekeza kwenye mifumo ya kidijitali ili kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa Watanzania, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha ujumuishaji wa kifedha na kupunguza utegemezi wa huduma za matawi. Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (DITF), Meneja Mwandamizi wa Mauzo Kidijitali…

Read More

Simon Msuva kusalia Iraq | Mwanaspoti

HUENDA mshambuliaji wa Kitanzania na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Somon Msuva akasalia kwenye kikosi cha Al Talaba msimu ujao. Kiwango bora alichoonyesha Msuva akiisaidia timu hiyo kumaliza nafasi ya nne kwenye mechi 38 za Ligi Kuu, ikishinda 18 sare tisa na kupoteza 11 kwa mabao yake 12 aliyofunga kimewashawishi viongozi wa timu hiyo kuendelea…

Read More

Mbeya City yavamia dili la beki Simba

MABOSI wa Mbeya City wameanza kuingilia kati dili la beki wa kati wa Simba, Hussein Kazi ambaye mkataba wake na kikosi hicho cha Msimbazi umefikia tamati msimu huu, baada ya awali nyota huyo kuanza mazungumzo ya kujiunga na Mashujaa FC. Kazi aliyejiunga na timu hiyo Julai 20, 2023, akitokea Geita Gold, ameshindwa kupenya katika kikosi…

Read More

Nicholas Gyan aingia anga za Pamba Jiji

PAMBA Jiji imeonyesha nia ya kunasa saini ya winga wa zamani wa Fountain Gate, Mghana, Nicholas Gyan kwa ajili ya kuwapa huduma yake msimu ujao 2025/26. Nyota huyo ambaye amecheza kwa mafanikio Simba hajamaliza msimu na timu ya Fountain Gate kutokana na changamoto ya malipo sasa ni mchezaji huru yupo nchini kwao Ghana. Chanzo cha…

Read More