Beki Coastal Union amtaja Pacome

BEKI wa kati wa Coastal Union na timu ya Taifa ya Zanzibar, Abdallah Denis ‘Vivaa’, ametamka wazi kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ndiye mchezaji hatari zaidi kwa sasa Ligi Kuu Bara. Viva ambaye aliwahi kuichezea Malindi ya Ligi Kuu Zanzibar, alisema hana shaka kuwa Zouzoua ni tofauti na viungo wengi waliopo ligi kuu…

Read More

Twiga Stars yaanza mambo Wafcon 2024

LEO saa 4:00 usiku, timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars itashuka kwenye Uwanja wa Stade Municipal de Berkane, Morocco, kuivaa Mali katika mchezo wa kwanza wa Kundi C ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2024. Michuano hiyo ilianza rasmi Jumamosi kwa michezo ya kundi A, ambapo mwenyeji…

Read More

Kocha Mkongomani anukia Dodoma Jiji

MABOSI wa Dodoma Jiji FC wako katika mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa kocha wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi baada ya kuvutiwa na uwezo wake, wakiamini atatengeneza kikosi bora kitakacholeta ushindani mkubwa msimu ujao. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata zinaeleza kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime aliyejiunga na timu hiyo, Juni 19, 2024, akitokea…

Read More

Simba yamganda Pogba wa Zenji

WATANI wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga wameendelea ushindani wao nje ya uwanjani kwa kuamua kuvamia visiwani Zanzibar na hususani katika klabu ya Mlandege kwa ajili ya kubeba viungo wanaojua kutembeza boli kwa ajili ya kusuka vikosi vyao kwa msimu ujao wa mashindano. Ilianza Yanga kwa kuvamia Mlandege na kukamilisha dili la kumnasa…

Read More

Walibya wampandia dau Aziz KI

LILE dili la kiungo mshambuliaji Stephane Aziz KI pale Wydad Athletic limeingia mdudu baada ya kocha wa timu hiyo kutaka akatwe na akikatwa anarejea Yanga, lakini kuna jipya limeibuka juu ya nyota huyo raia wa Burkina Faso. Aziz aliyeondoka Yanga hivi karibuni kwenda kujiunga na Wydad na kuungana na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Seleman…

Read More

Simba, Yanga zaongezewa noti Afrika

KLABU zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, zikiwamo Simba na Yanga za Tanzania Bara na Mlandege ya visiwani Zanzibar zimeongezewa neema baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuongeza fedha kwa timu zinazotolewa hatua ya awali. Simba, Yanga na Mlandege zitaiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa,  wakati Azam, Singida BS na KMKM zenyewe zitacheza…

Read More

WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bila kusajiliwa, ikibainisha kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. Onyo hilo limetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa COPRA, Irene Mlola, leo Julai 6, 2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari alipotembelea banda la…

Read More