GASSHUKU 2025 LA JUNDOKAN TANZANIA LAFANA JIJINI DAR

  Wanafunzi na wakufunzi wa Jundokan Karate Do Tanzania leo Jumapili, Julai 6, 2025, wameungana katika Gasshuku – yaani semina maalum ya karate – iliyofanyika kwa mafanikio makubwa katika viwanja vya Shule ya Sekondari Azania, jijini Dar es Salaam. Neno “Gasshuku,” lenye asili ya Kijapani, linamaanisha “kambi ya pamoja ya mafunzo,” ambapo wakarateka wa viwango…

Read More

SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA KISWAHILI KUTOLEWA AGOSTI

TOLEO la Sheria ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili zinatarajiwa kuanza kutoka ifikapo Agosti mwaka huu ikiwa baada ya hivi karibuni Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza kutafsiriwa kwa sheria ili iweze kueleweka kwa urahisi na watu wa makundi yote. Ameyasema hayo leo Julai 6, 2025 Mwandishi Mkuu wa Sheria, Onorius Njole, katika Maonesho ya 49…

Read More

Vijana wa Gen-Z Kenya, waanzisha chama chao cha siasa

Kenya. Vijana wa Kenya, maarufu Gen-Z wameanzisha chama chao cha siasa walichokipa jina la ’47 Voices of Kenya Congress’ ambacho tayari kimeingia kwenye uwanja wa siasa baada ya kusajiliwa rasmi. Kupitia chama hicho vijana hao ambao katika miaka ya hivi karibuni wamegonga vichwa vya habari nchini humo ikiwemo kwenye maandamano wamedhamiria kuwakilisha sauti za jamii…

Read More

Kutojua sheria kigingi wanasoka wa kike

Licha ya kutotekelezwa sheria ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuhusu haki za wachezaji wa kike wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua, uchunguzi uliofanywa na Mwananchi umebaini kanuni hizo hazifahamiki kwa wachezaji wengi, makocha na hata uongozi wa vilabu. Kati ya wachezaji wa timu zote za Ligi Kuu ya Wanawake waliozungumza na kufanyiwa…

Read More

Zanzibar yaanza kukusanya takwimu za uwiano wa kijinsia

Unguja. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar (OCGS), kwa kushirikiana na wadau wengine wakiwemo Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa) Zanzibar, wameanza kuandaa na kutengeneza mfumo wa ukusanyaji wa takwimu za kijinsia katika taasisi za Serikali, binafsi, asasi na mashirika mbalimbali kuanzia ngazi za chini hadi Taifa. Hatua hiyo inalenga kupata takwimu katika…

Read More

Wanasayansi wabaini sababu usonji kukumba zaidi wavulana

Dar es Salaam. Wanasayansi wamebaini sababu ya kwa nini wavulana wana uwezekano mkubwa zaidi wa kuwa na usonji na tatizo la kutotulia ‘ADHD’ kuliko wasichana, huku kemikali iitwayo PFHxA ikihusishwa. Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la European Journal of Neuroscience, umeonyesha wavulana wana uwezekano mara tatu zaidi wa kugundulika na tatizo la usonji na kutotulia,…

Read More