Mangalo, Mtibwa bado kidogo tu

BAADA ya kukaa nje ya uwanja msimu mzima akiuguza jeraha la goti, beki wa zamani wa Biashara United na Singida Foutain Gate, Abdulmajid Mangalo yupo kwenye hatua za mwisho kumalizana na Mtibwa Sugar. Mangalo ambaye alikuwa anajiuguza goti alirejea kwenye uwanja wa mazoezi tangu dirisha dogo la msimu ulioisha lakini hakupata ofa ambayo ingemfanya arudi…

Read More

Tasac kuongeza nguvu kudhibiti uharamia wa meli

Dar es Salaam. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) limesema linaendelea kuimarisha mifumo yake ya ulinzi baharini kwa kutumia njia za kisasa ili kutokomeza uharamia wa meli zinazohudumiwa nchini. Hilo linafanyika ili kuvutia watu wengi kutumia bandari za Tanzania ambazo zimeendelea kifanyiwa uwekezaji ili ziweze kuhudumia meli nyingi na zenye uwezo wa kushusha shehena…

Read More

WAZIRI KIKWETE: TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA WA WADAU SEKTA YA HIFADHI YA JAMII AFRIKA

 WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema kuwa Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii Afrika (ASSA), unaotarajiwa kufanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Jijini Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar…

Read More

Musonda avunja ukimya Yanga | Mwanaspoti

HAKUNA ubishi kwamba maisha ya mshambuliaji wa Kennedy Musonda ndani ya Yanga yamefikia tamati baada ya kuitumikia timu hiyo kwa misimu miwili na nusu, lakini mwenyewe ameamua kuvunja ukimya kwa kuzungumza kwa mara ya kwanza na Mwanaspoti. Nyota huyo wa kimataifa wa Zambia, alijiunga na Yanga katika dirisha dogo la msimu wa 2022-2023 akitokea Power…

Read More

Mbinu za kibunifu Sabasaba zavutia watembeleaji

Dar es Salaam. Wakati kilele cha Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu Sabasaba, kikitarajiwa kufanyika kesho Julai 7, mabanda yameongeza kasi ya kuvutia wageni kwa mbinu mbalimbali za kibunifu. Idadi ya watembeleaji imeendelea kuongezeka tangu siku ya kwanza huku wapigangoma, matarumbeta, wachekeshaji, mangongoti, bendi, wanenguaji na wasanii ni…

Read More

Saliboko mikononi mwa maafande | Mwanaspoti

MAAFANDE wa JKT Tanzania wako katika mazungumzo kwa ajili ya kuipata saini ya mshambuliaji wa KMC FC, Daruweshi Saliboko ili kuichezea timu hiyo msimu ujao, baada ya kuonyesha nia ya kuhitaji kuondoka kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya. Mmoja wa watu wa karibu na mchezaji huyo, aliliambia Mwanaspoti Saliboko ameanza mazungumzo na mabosi wa JKT,…

Read More

Mahakama yamwachia huru aliyefungwa miaka 30 kwa wizi, ubakaji

Arusha. Mahakama ya Rufani imefuta hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela dhidi ya Kenedy Andrew, aliyekuwa amehukumiwa kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha na ubakaji. Uamuzi huo umetolewa baada ya Mahakama kujiridhisha kuwa ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka haukuthibitisha makosa hayo bila kuacha shaka. Mahakama hiyo imeamuru Kenedy aachiliwe huru kutoka gerezani…

Read More

Singano ataja ugumu wa Mexico

BEKI wa FC Juarez inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Mexico, Julietha Singano amesema ugumu wa ligi hiyo unamfanya aonyeshe jitihada zaidi. Huu ni msimu wa tatu mfululizo kwa beki huyo wa timu ya taifa ‘Twiga Stars’ kuichezea timu hiyo akifanikiwa kuingia kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja mbele ya nyota kibao kutoka mataifa…

Read More

Safari ya Mwisho ya Baba wa Mbwana Samatta

FAMILIA  ya straika nyota na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta ipo katika majonzi makubwa kufuatia kifo cha baba yao mpendwa, Mzee Ally Samatta, aliyefariki dunia leo Jumapili baada ya kuugua kwa muda mrefu. Akizungumza kwa majonzi, Rajabu Samatta mtoto wa kwanza wa marehemu, amesema, Mzee Samatta alikuwa akisumbuliwa kwa…

Read More