Mpina awekwa pembeni uteuzi ubunge CCM

Dar es Salaam. Mbunge wa Kisesa mkoani Simiyu, Luhaga Mpina ni miongoni mwa watiania wa ubunge CCM ambao majina yao si miongoni mwa yaliyopitishwa na Kamati Kuu ya chama hicho kwenda kupigiwa kura za maoni. Taarifa ya kuondolewa kwa Mpina imefahamika leo Jumanne Julai 29, 2025 baada ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi,…

Read More

Mpina atupwa nje safari ya bungeni

Dar es Salaam. Mbunge wa Kisesa mkoani Simiyu, Luhaga Mpina ni miongoni mwa watiania wa ubunge CCM ambao majina yao si miongoni mwa yaliyopitishwa na Kamati Kuu ya chama hicho kwenda kupigiwa kura za maoni. Taarifa ya kuondolewa kwa Mpina imefahamika leo Jumanne Julai 29, 2025 baada ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi,…

Read More

Makamba aenguliwa uteuzi CCM, sita kuwania kumrithi Bumbuli

Dar es Salaam. Mbunge wa Bumbuli mkoani Tanga anayemaliza muda wake, January Makamba hajateuliwa kuwania nafasi hiyo baada ya jina lake kushindwa kupenya kwenye mchujo uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amewataja wagombea sita watakaochuana ni Hidaya Kilima, Zahoro Hanuna, Ramadhan Singano,…

Read More

Walioteuliwa majimbo ya Geita hawa hapa

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko ameteuliwa kuwa mtiania pekee katika Jimbo la Bukombe baada ya makada wengine kutojitokeza kutia nia. Hayo yamesemwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla leo Jumanne Julai 29, 2025 wakati akitangaza majina ya walioteuliwa na CCM kwenda hatua inayofuata…

Read More

Makala: CCM inaaminika na kutegemewa na wananchi

Dar es Salaam.  Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema uwepo wa watia nia wengi katika nafasi mbalimbali zilizotangazwa umethibitisha kuwa CCM ni chama pendwa kinachoaminika, kinategemewa huku wananchi wakiamini kuwa hatima ya uongozi iko ndani yake. Kutokana na wingi huo, amewataka wagombea watakaokosa nafasi katika uteuzi wa…

Read More

Kofia ya kocha yavunja pambano la kikapu Dar

MCHEZO kati ya Stein Warriors na JKT katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ulikumbwa na dosari baada ya mwamuzi kuuvunja kabla ya robo ya tatu kuanza. Mchezo huo ulioshuhudia watazamaji wengi ulifanyika katika Uwanja wa Donbosco, Upanga, ambapo mwamuzi aliamua kuuvunja baada ya kocha wa Stein Warriors, Karabani Karabani kukataa kutoka…

Read More

Waziri Kikwete aipongeza CRDB Bank Foundation kukuza ujasiriamali chini

Kutokana  na fursa zinazotolewa kwa wananchi kupitia Programu ya Imbeju, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ameipongeza Taasisi ya CRDB Bank Foundation kwa kukuza ujasiriamali na kuongeza elimu ya fedha kwa wananchi wengi zaidi. Waziri Kikwete ametoa pongezi hizo kwenye uzinduzi wa shirika lisilo…

Read More

Hali mbaya nyumba za Magomeni kota

Dar es Salaam. Usingedhani kwamba nyumba iliyotumika kwa miaka mitatu, ifanane na iliyodumu kwa muongo mmoja. Huu ndio uhalisia wa nyumba za wakazi 644 wa Magomeni Kota, jijini Dar es Salaam.  Si hivyo bali hata ile bustani iliyopambwa kila upande, ikiwemo eneo la mbele ya majengo hayo, haionekani tena baada ya wakazi hao kugeuza njia…

Read More