Wazir JR kutimkia Saudi Arabia

INAELEZWA Al Faisaly inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Saudia Arabia imemalizana na kocha Mhispania, Pablo Grandez lakini ametoa pendekezo la kuletewa straika Mtanzania, Wazir JR anayekipiga Al Minaa inayoshiriki Ligi Kuu nchini Iraq. Grandez hivi karibuni alikuwa anaifundisha Al Minaa anayoichezea Wazir Jr ambaye mkataba wake wa mkopo unaisha mwishoni mwa msimu. Chanzo cha karibu…

Read More

Polisi waimarisha ulinzi nje ya Kanisa la KKAM

Dar es Salaam. Lolote linaweza kutokea! ndiyo hali halisi iliyopo katika ibada ya Jumapili ya leo Julai 6, 2025 kwa waumini wa lililokuwa kanisa la ufufuo na uzima la Askofu Josephat Gwajima na wale wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) dhidi ya Jeshi la Polisi. Waumini hao wameamua kufanya ibada ya pamoja tangu Jumapili…

Read More

Utunzaji ngozi kwa wanaume wazua mjadala

Dar es Salaam. Kwa miongo kadhaa, huduma ya ngozi maarufu ‘skincare’ ilionekana kama jambo la wanawake, ikiambatana na watu maarufu, watu wa mitandao ya kijamii na wanamitindo wa urembo. Lakini mtazamo huo kwa sasa unabadilika. Idadi inayoongezeka ya vijana wa kiume, hususan wa kizazi cha Gen Z, sasa wanahusudu huduma ya ngozi kama sehemu ya…

Read More

ACT Wazalendo: Mapambano hayahitaji kutundika daruga

Mbeya. Chama cha ACT-Wazalendo kimesisitiza kuwa mapambano dhidi ya watawala si ya muda mfupi, bali ni safari ya muda mrefu inayohitaji uvumilivu na msimamo thabiti. Kimevitaka vyama vya upinzani kutokata tamaa wala kutolegeza juhudi, bali kuendelea kushikamana na kuendeleza mapambano hadi pale haki, usawa na demokrasia ya kweli vitakapopatikana. Hayo yamebainishwa na kiongozi mstaafu wa…

Read More

Siku 30 za ACT Wazalendo kujenga msingi wa ushindi

Shinyanga/Mbeya. Katika siku saba tangu kuanza kwa Julai 2025, Chama cha ACT Wazalendo kimekuwa kwenye harakati za kisiasa katika maeneo mbalimbali nchini, kupitia kampeni iliyopewa jina la Operesheni ‘Majimaji linda kura’. Kampeni hiyo, inayofanyika kwa siku 30 mfululizo, viongozi waandamizi wa chama hicho wapo ziarani mikoani, wakihamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu wa…

Read More