MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUTOKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII (TICD) TENGERU WAPIMANA UBAVU.

Na.Ashura Mohamed -Arusha. Mashabiki wa Timu za Simba na Yanga ambao ni watumishi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru(TICD), wamecheza mechi ya kirafiki katika juhudi za kuendelea kudumisha mahusiano na ushirikiano katika maeneo ya kazi. Akizungumza katika bonanza hilo Mgeni rasmi Kaimu Naibu Mkuu wa chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD),anayeshughulikia Mipango na…

Read More

MASUMUNI MPYA NA MOSSES MDAKA MAPUNDA?

Mwanasiasa na mwalimu kitaaluma, Mosses Mdaka Mapunda, ni mtia nia nafasi ya Udiwani katika Kata ya Masumuni, Wilaya ya Mbinga, Mkoa wa Ruvuma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), akiahidi kuleta mwelekeo mpya wa maendeleo ya kweli katika kata hiyo. Mapunda anaamini kuwa Kata ya Masumuni inahitaji kiongozi aliye karibu na wananchi, mwenye uelewa wa changamoto…

Read More

DIB Yatoa Elimu kwa Umma Katika Maonesho ya 49 ya SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Bodi ya Bima ya Amana (DIB) inaendelea kutoa elimu kwa wananchi na wadau mbalimbali katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama SABASABA, yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Barabara ya Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Wananchi wote wanakaribishwa kutembelea banda la DIB ili kupata elimu…

Read More