Ecua amtikisa Sowah Yanga | Mwanaspoti

PALE Jangwani mambo ni moto! Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara wako mawindoni wakikamilisha kamilisha ishu zao za usajili kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano, ambapo wameapa kwamba wanataka kuanzia walipoishia hapa nchini kwa kukomba kila kitu, lakini kule nje wakaupige mwingi Ligi ya Mabingwa Afrika. Kama unakumbuka kauli ya rais wa klabu hiyo,…

Read More

Mabosi Simba wamjadili Camara | Mwanaspoti

MAISHA yanaenda kasi sana unaambiwa, kwani kuna mambo nyakati flani msimu uliopita usingeweza kufikiria iwapo yangeibuka sasa na kutibua mioyo ya mashabiki wa Simba na hata viongozi. Wakati msimu wa 2024/25 unaanza Simba haikuwa na malengo makubwa, ikitembea na kauli kwamba inajenga timu mpya kwa ajili ya kuja kuitumia kutikisa Bara na Afrika miaka michache…

Read More

Mbinu kudhibiti mbwakoko, kichaa cha mbwa -2

Dar es Salaam. Ili kudhibiti kichaa cha mbwa na wanyama hao kuzurura mitaani, wadau wameainisha maeneo matano ya kushughulikiwa, yakihusisha sheria, ushirikiano wa kisekta, chanjo na elimu kwa jamii. Wadau wanapendekeza uwepo wa usimamizi madhubuti wa sheria kuanzia ngazi ya mtaa ili kudhibiti mbwa wanaozurura kiholela mitaani. Sekta za mifugo, afya na wamiliki wa mbwa…

Read More

Kliniki ya Biashara ya FCC kuwafikia Washiriki zaidi 3500

Tume ya Ushindani wa Haki (FCC) imechukua hatua madhubuti kuimarisha uelewa wa sheria za ushindani miongoni mwa wajasiriamali wadogo na wa kati kwa kuzindua kliniki maalum ya biashara katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), maarufu kama Sabasaba. Kupitia kliniki hiyo, FCC inalenga kuwapatia wafanyabiashara hawa taarifa sahihi na…

Read More

Samatta apata pigo zito, afiwa na baba mzazi

NI huzuni kubwa katika familia ya mshambuliaji wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ‘Samagol’ kufuatia taarifa za kifo cha baba mzazi, Ally Pazi Samatta. Mzee Samatta amefariki dunia asubuhi hii ya Jumapili akiwa nyumbani kwake Mbagala Dar es Salaam na taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwanae, Mohamed Samatta. Kwa mujibu wa taarifa…

Read More

Camara ajadiliwa Simba, mabosi watoa msimamo

KIKAO cha mabosi wa Simba kimefikishiwa makosa aliyofanya kipa Moussa Camara yalivyoigharimu timu msimu uliomalizika, kisha ukafanyika uamuzi juu ya nyota huyo raia wa Guinea. Camara ambaye alitua Simba mwanzoni mwa 2024-2025 akitokea Horoya ya Guinea ndiye amekuwa kipa namba moja kikosini baada ya Ayoub Lakred kuwa na majeraha ya muda mrefu na kuondolewa kwenye…

Read More