
Ecua atikisa dili la Sowah Yanga
SIKU moja baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa huenda straika Celestin Ecua akatua na kocha mpya wa timu hiyo anayekuja kuchukua mikoba ya Miloud Hamdi, mambo yanadaiwa kuonekana kwenda vizuri huku ikidaiwa amepindua dili la Jonathan Sowah, raia wa Ghana. Straika huyo ambaye ndiye MVP wa Ligi Kuu Ivory Coast, amemaliza msimu wa 2024-2025 akitupia mabao…