Watanzania wakumbushwa kusaidiana | Mwananchi

Dodoma. Watanzania wenye sifa ya kupiga kura wameitwa kujitokeza siku ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, ikielezwa kufanya hivyo ni njia ya kupata viongozi wenye kibali cha Mungu. Wito huo umetolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Nabii Mkuu, Dk Moses GeorDavie muda mfupi baada ya kutunukiwa shahada ya udaktari wa heshima kwa masuala…

Read More

Tira yabeba ajenda ya bima ya afya kwa wote

Dar es Salaam. Wakati kampuni 40 chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira) zikishiriki Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) mkazo mkubwa umewekwa kuhamasisha umma kuhusu Bima ya Afya kwa Wote (UHI). Vipindi vya elimu vinafanyika kila siku kwenye maonyesho hayo ili kuwasaidia wananchi kuelewa…

Read More

WANANCHI WAALIKWA KUFIKA BANDA LA CMSA KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA UELEWA MASUALA YANAYOHUSU MASOKO YA MITAJI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)imewakaribisha wananchi wanaofika katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataita yanayoendelea Sabasaba jijini Dar es Salaam kufika katika banda lao ili kupata uelewa wa masuala yanayohusu uwekezaji katika masoko ya mitaji. Akizungumza leo na waandishi wa habari katika Banda la CMSA lililopo katika…

Read More

Rais Dkt. Samia Kuzuru Comoro Kesho

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Comoro kesho Jumapili tarehe 6 Julai, 2025 kwa mwaliko wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Mhe. Azali Assoumani. Rais Dkt. Samia atahudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo…

Read More

Wanufaika na teknolojia ya kilimo shadidi

Ifakara. Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tari) kituo cha Ifakara, inaendelea kunufaisha wakulima kwa kutoa elimu kuhusu matumizi ya mbegu bora za mpunga na mbinu za kilimo cha kisasa kwa kutumia teknolojia ya Kilimo Shadidi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Siku ya Mkulima uliofanyika katika kijiji cha Katurukila, kata ya Mkula, Halmashauri ya Mji…

Read More

Ibenge awatega mastaa Azam, afichua usajili atakaoufanya

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema atafanya usajili itakapohitajika,  lakini anaamini kikosi kilichopo ni bora kutokana na kumaliza nafasi ya tatu na kupata nafasi ya ushiriki michuano ya kimataifa. Ibenge amefunguka hayo muda mchache baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo, huku akiweka wazi anaenda kukaa na wachezaji ili waelewe nini anakitaka…

Read More