
Beki JKT mbioni kuibukia Msimbazi
SIKU moja tangu kuvuja kwa taarifa ya ripoti ya kocha wa Simba, Fadlu Davids kutaka asajiliwe majembe sita mapya ili kuunda kikosi bora cha msimu ujao akiwamo beki wa kati, Mwanaspoti limenasa jina la beki ambaye ameingia katika rada za Wekundu wa Msimbazi kutoka JKT Tanzania. Beki huyo wa kati ni Wilson Nangu anayedaiwa menejimenti…