Polisi Dar yatoa onyo vurugu baada ya ibada KKAM

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetoa onyo kali kwa kikundi cha watu ambao wamekuwa wakitoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri la Afrika Mashariki (KKAM) kwa nia ya kuingia barabarani kufanya vurugu. Onyo hilo limetolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Kamanda wa kanda hiyo, Jumanne Muliro alipozungumza na…

Read More

Ugonjwa wa kizunguzungu watesa wafugaji, waomba msaada serikalini

Arusha. Wafugaji wa Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha, wameiomba Serikali kupitia taasisi zake husika kufanya utafiti wa kina kuhusu ugonjwa wa kizunguzungu, unaojulikana kitaalamu kama coenurosis. Ugonjwa huo unasababishwa na minyoo aina ya taenia multiceps, ambao umekuwa ukisababisha vifo vya mbuzi na kondoo zaidi ya 40 kwa mfugaji mmoja kila mwaka. Wakizungumza mbele ya Waziri…

Read More

Bajaji za umeme Sabasaba zilivyorahisisha usafiri

Dar es Salaam. Pikipiki za umeme za magurudumu matatu (bajaji) zilizoanza kutumika kwa mara ya kwanza katika Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), zimerahisisha usafiri kwa wageni na washiriki huku zikihamasisha matumizi ya nishati safi na kukuza utalii wa jiji. Tofauti na miaka iliyopita, wageni walitegemea huduma zisizo rasmi…

Read More

Wataka Kiswahili kuwaunganisha Waafrika | Mwananchi

Japan. Viongozi wa mataifa mbalimbali wameeleza umuhimu wa kukua na kuenea kwa Kiswahili, wakisema ndiyo lugha itakayowaunganisha Waafrika na mataifa mengine duniani. Kwa mujibu wa viongozi hao, ukuaji wa kasi wa Kiswahili unaonyesha matumaini kuwa lugha hiyo itakuwa kiungo cha kibiashara na uchumi kati ya Waafrika na mataifa mengine. Viongozi hao wamesema hayo kwa nyakati…

Read More

Nzengo: Nguvu ya mshikamano Kanda ya Ziwa

Mwanza. Katika miji na vijiji vya mikoa ya Kanda ya Ziwa, sauti ya kilio au yowe inaposikika kuashiria tatizo, ikiwamo taarifa za kifo, mfumo wa kijamii uitwao nzengo huchukua nafasi yake. Wanajamii hukusanyika eneo husika, wanawake kwa wanaume, vijana wa kike na wa kiume, kuhakikisha wanatoa msaada kwa lililotokea. Iwapo ni msiba, kinamama wataingia jikoni,…

Read More