WANANCHI WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA WIZARA YA ARDHI SABASABA

  Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) wameonesha kuridhishwa na huduma zinazotolewa na wizara hiyo. Wakizungumza katika banda la Wizara ya Ardhi tarehe 4 Julai 2025  katika maonesho hayo yanayoendelea katika viwanja vya Mwl Nyerere Dar es Salaam, wananchi hao…

Read More

WAKULIMA WADOGO WANUFAIKA NA MIKOPO YA AGITF

  Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo Bi. Mwanahiba Mzee, akizungumza katika mahojiano maalum na waandishi wa habari, kwenye Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba, yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo Bi. Mwanahiba Mzee, akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Taasisi hiyo,…

Read More

KESI YA MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA: Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa- 6

Dar es Salaam. Baada ya kuchambua namna ambavyo ushahidi wake ulivyoweza kuthibitisha viini viwili kati ya vitatu vinavyojenga hatia kwa washtakiwa katika kesi ya mauaji ya muuza madini, sasa Jamhuri inahitimisha na uchambuzi wa ushahidi huo ulivyoweza kuthibitisha kiini cha tatu na cha mwisho. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Gilbert Sostenes Kalanje aliyekuwa Mrakibu wa Polisi…

Read More

Mizani zakwamisha uuzaji pamba, wakulima hawaelewi

Simiyu. Wakulima wa pamba wilayani Meatu mkoani Simiyu, wamelalamikia kusitishwa kwa shughuli za ununuzi wa zao hilo hatua iliyozua sintofahamu na kilio miongoni mwa wananchi wa wilaya hiyo. Hatua hiyo imekuja baada ya malalamiko ya muda mrefu kuhusu mizani zinazodaiwa kupunja wakulima kwa makusudi hivyo kupelekea Wakala wa Vipimo (WMA) kuchukua mizani kwa ajili ya uchunguzi….

Read More

Ushirika chachu ya maendeleo ya wananchi

Unguja. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff amesema sekta ya ushirika Zanzibar ina mchango mkubwa katika kukuza maendeleo ya kijamii na kiuchumi, huku ikiwezesha wananchi kujikwamua na umasikini. Ameeleza hayo Julai 4, 2025 akitoa taarifa ya maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho Julai 5, 2025….

Read More

Tishio la mbwakoko -1 | Mwananchi

Dar es Salaam. Ni saa moja asubuhi, Loyce John msichana wa miaka 12 anatoka nyumbani kuelekea shuleni kupitia barabara nyembamba ya vumbi. Barabara hii ipo katika Mtaa wa Kisimani, Kata ya Kibamba wilayani Ubungo, mkoani Dar es Salaam.  Kando mwa barabara kuna vibanda vichache vya biashara, nyumba na sehemu ni vichaka. Ghafla inasikika…

Read More

Moto wateketeza vibanda 13 soko la Singida

Dodoma. Moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeteketeza vibanda 13 vilivyomo ndani ya Soko Kuu la Singida na kuharibu mali ambazo bado thamani yake hakijafahamika. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Amon Kakwale amethibitisha leo Jumamosi Julai 5, 2025 kwamba sehemu kubwa ya mali za wafanyabiashara ziliokolewa. Moto huo ulianza saa nne usiku na kwamba…

Read More

KAIMU MKURUGENZI MKUU FCC ATEMBELEA BANDA LA WMA SABASABA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma Ngasongwa akisaini kitabu Cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Wakala Wa Vipimo (WMA) na kujionea huduma wanaoyoitoa katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wadau mbalimbali na wananchi kwa ujumla…

Read More

Makaazi na Usalama Wanawake wa Afghanistan Wanarudi kutoka Iran na Pakistan – Maswala ya Ulimwenguni

Tangu Septemba 2023, wahamiaji zaidi ya milioni 2.43 wasio na kumbukumbu wa Afghanistan wamerudi kutoka Iran na Pakistan. Wanawake na wasichana husababisha karibu nusu ya waliorudi kutoka Pakistan, wakati sehemu yao kati ya wale wanaorudi kutoka Iran imekuwa ikiongezeka kwa kasi, ikifikia karibu asilimia 30 mnamo Juni. Kasi inayoongezeka ya kurudi ni kusumbua mfumo wa…

Read More